Gazeti la Mwananchi halina contacts, why?

Gazeti la Mwananchi halina contacts, why?

MVUMBUZI

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
5,182
Reaction score
2,330
Nilitaka kuwasiliana na gazeti la mwanachi na ikanibidi nichukue Gazeti la leo tarehe 10/09/2014 kuangalia namba za simu. Nimeshangaa kuona hamna page inayoonyesha specific number za kupiga kwa mfano kuuliza ofisi za mikoani ili mtu apeleke tangazo n.k sikupata.

Huu ni ubahili au kitu gani kwani kubana page kiasi cha kutoweka hata contact inashangaza. Nimekwenda online nikajaribu kupiga simu iliyopo lakini iko busy mfululizo.
Mnisaidie maeneo ziliko ofisi zenu katika mikoa ya Arusha, Mwanza, Tanga, Kilimanjaro na Mbeya.

Wao NIPASHE mbona wameweka contact zao including za wahariri mbalimbali na namba ya mkononi ya ofisi za masoko na matangazo?.
 
Nilitaka kuwasiliana na gazeti la mwanachi na ikanibidi nichukue Gazeti la leo tarehe 10/09/2014 kuangalia namba za simu. Nimeshangaa kuona hamna page inayoonyesha specific number za kupiga kwa mfano kuuliza ofisi za mikoani ili mtu apeleke tangazo n.k sikupata.

Huu ni ubahili au kitu gani kwani kubana page kiasi cha kutoweka hata contact inashangaza. Nimekwenda online nikajaribu kupiga simu iliyopo lakini iko busy mfululizo.
Mnisaidie maeneo ziliko ofisi zenu katika mikoa ya Arusha, Mwanza, Tanga, Kilimanjaro na Mbeya.

Wao NIPASHE mbona wameweka contact zao including za wahariri mbalimbali na namba ya mkononi ya ofisi za masoko na matangazo?.


Katika pitapita nikakutana na hizi hapa;

Wasiliana nasi

Webmaster Address:

email: webmaster(at)mwanachi(dot)co(dot)tz
Plot No. 34/35 Mandela Road
P.O.Box 19754
Dar es Salaam
Tanzania

Fax:
+255 22 2450886
Mobile Phone:
+255 713471195

Advertising (Online)

Online Business Manager Address:
Plot No. 34/35 Mandela Road
P.O.Box 19754
Dar es Salaam

Tanzania
 
Kwa mkoa wa Arusha wasiliana na Zephania Ubwani atakupa mwongozo kwamaana yeye ndio bosi wao kwa mikoa ya Kanda ya Kaskazini 0768593190

Nilitaka kuwasiliana na gazeti la mwanachi na ikanibidi nichukue Gazeti la leo tarehe 10/09/2014 kuangalia namba za simu. Nimeshangaa kuona hamna page inayoonyesha specific number za kupiga kwa mfano kuuliza ofisi za mikoani ili mtu apeleke tangazo n.k sikupata.

Huu ni ubahili au kitu gani kwani kubana page kiasi cha kutoweka hata contact inashangaza. Nimekwenda online nikajaribu kupiga simu iliyopo lakini iko busy mfululizo.
Mnisaidie maeneo ziliko ofisi zenu katika mikoa ya Arusha, Mwanza, Tanga, Kilimanjaro na Mbeya.

Wao NIPASHE mbona wameweka contact zao including za wahariri mbalimbali na namba ya mkononi ya ofisi za masoko na matangazo?.
 
Katika pitapita nikakutana na hizi hapa;

Wasiliana nasi

Webmaster Address:

email: webmaster(at)mwanachi(dot)co(dot)tz
Plot No. 34/35 Mandela Road
P.O.Box 19754
Dar es Salaam
Tanzania

Fax:
+255 22 2450886
Mobile Phone:
+255 713471195

Advertising (Online)

Online Business Manager Address:
Plot No. 34/35 Mandela Road
P.O.Box 19754
Dar es Salaam

Tanzania

Nimepiga hii 0713471195 iko busy. Hivi ni ukurasa wa kuweka contact wame kosa au watapata hasara sana ya space
 
Nimepiga hii 0713471195 iko busy. Hivi ni ukurasa wa kuweka contact wame kosa au watapata hasara sana ya space


Sijajua ni kwanini lakini mimi huwasiliana nao mara nyingi sana kwa namba hiyo.
 
Hawa jamaa nami nilisumbuka sana last week ilikuwa niwaunganishie dili la nchi moja ya nje walitaka kuweka matangazo yao kwenye gazeti la kiswahili na kiingereza lakini kila nikipiga hamna majibu ni nikitafuta kwenye mtandao ndo kaisa hazipatikani, nadhani wanapaswa kuona kuwa wakati wote wakauwa kijasilamali/kibiashara zaidi
 
Back
Top Bottom