Kubenea bado watanzania tutasimama na kuamini katika kile ulichokifunua kuhusu ushiriki wa staff wa TISS kwenye kuteka, kutesa na kumdhuru Dk Ulimboka.
Wakilifungulia tunakuomba Kubenea na waandishi wenzako wa Mwanahalisi kuendelea na moto huo huo wa kufichua umafia wa serikali hii ya watendaji wazembe wa serikali.
Wakilifungulia tunakuomba Kubenea na waandishi wenzako wa Mwanahalisi kuendelea na moto huo huo wa kufichua umafia wa serikali hii ya watendaji wazembe wa serikali.