Mkuu kutambulika si hoja,hoja ni kwamba unatambulika kwa mambo gani? Je ni kwa hii misimamo ya kijinga na isiyo na tija si kwake binafsi wala taifa lake
Mkuu kutambulika si hoja,hoja ni kwamba unatambulika kwa mambo gani? Je ni kwa hii misimamo ya kijinga na isiyo na tija si kwake binafsi wala taifa lake
Rudi ilula ukageme ulanzi na kulima nyanya utunze familia ili ikukumbuke siku za mbeleni! Mmebaki wachache Sana humu msioamini kuwa ofisi za magu zimejaa na hahitaji kuteua Tena!