lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
Wasalaam,
Kwa wale na hasa wapenda cartoon waliokuwa wakisoma gazeti la Kingo nawaombeni kunijuza juu ya kinachoendelea na gazeti hilo.
Nimejaribu kufuatilia kama linaendelea kutoka lakini sijapata majibu yoyote na ninakumbuka ni jinsi gani gazeti hili lilivyokuwa likiwakilisha kazi nzuri kupitia michoro.
Au waandaaji walitiwa msukosuko?
Tafadhali anayefahamu anajuze!
Nashukuru
Kwa wale na hasa wapenda cartoon waliokuwa wakisoma gazeti la Kingo nawaombeni kunijuza juu ya kinachoendelea na gazeti hilo.
Nimejaribu kufuatilia kama linaendelea kutoka lakini sijapata majibu yoyote na ninakumbuka ni jinsi gani gazeti hili lilivyokuwa likiwakilisha kazi nzuri kupitia michoro.
Au waandaaji walitiwa msukosuko?
Tafadhali anayefahamu anajuze!
Nashukuru