View attachment 541491
Gazeti kubwa Uingereza la Daily Mail limetangaza mechi ya Gor Mahia VS Everton mubashara kupitia tovuti Yake .
Kitu cha kushangaza ni kuuita uwanja wa Taifa wa Tanzania kama "Nairobi City Stadium" ,na sio kimakosa kwani wameuita hivyo mara zote walipoutaja . Je , unadhani tatizo ni nini hasa hadi makosa haya yanatokea ? Nani wakulaumiwa ?? Sportpesa Tanzania?Au sisi wenyewe kama nchi hatajaitambulisha vyema nje ya mipaka yetu.
Hawa Waingereza ina maana wakati wote hawajui kama Everton ipo Dar Es Salaam na si Nairobi?Hivi timu za Tanzania ilikuwaje sikadharau michuano hii na kuiachia Gor Mahia toka Kenya kuubeba ubingwa kiwepesi?Tunajambo la kujifunza
Inamaana atujulikani kiasi hicho?View attachment 541491
Gazeti kubwa Uingereza la Daily Mail limetangaza mechi ya Gor Mahia VS Everton mubashara kupitia tovuti Yake .
Kitu cha kushangaza ni kuuita uwanja wa Taifa wa Tanzania kama "Nairobi City Stadium" ,na sio kimakosa kwani wameuita hivyo mara zote walipoutaja . Je , unadhani tatizo ni nini hasa hadi makosa haya yanatokea ? Nani wakulaumiwa ?? Sportpesa Tanzania?Au sisi wenyewe kama nchi hatajaitambulisha vyema nje ya mipaka yetu.
Hawa Waingereza ina maana wakati wote hawajui kama Everton ipo Dar Es Salaam na si Nairobi?Hivi timu za Tanzania ilikuwaje sikadharau michuano hii na kuiachia Gor Mahia toka Kenya kuubeba ubingwa kiwepesi?Tunajambo la kujifunza
wazungu wengi wajinga..hawana wanalolijua zaid ya walichosomeaWashamba tu hao.... kuna mgombea mweza wa USA aliulizwa anaijuaje Africa. .. akasema Africa ni nchi.... hawa wazungu kwa mmoja mmoja tunawamudu sana tu ila kama society ndon wanapo tupigia bao... ni washamba tu wengibe....
Hizi blunders why Daily Mail only?? Kuna editor mkenya nafikiri!!View attachment 541491
Gazeti kubwa Uingereza la Daily Mail limetangaza mechi ya Gor Mahia VS Everton mubashara kupitia tovuti Yake .
Kitu cha kushangaza ni kuuita uwanja wa Taifa wa Tanzania kama "Nairobi City Stadium" ,na sio kimakosa kwani wameuita hivyo mara zote walipoutaja . Je , unadhani tatizo ni nini hasa hadi makosa haya yanatokea ? Nani wakulaumiwa ?? Sportpesa Tanzania?Au sisi wenyewe kama nchi hatajaitambulisha vyema nje ya mipaka yetu.
Hawa Waingereza ina maana wakati wote hawajui kama Everton ipo Dar Es Salaam na si Nairobi?Hivi timu za Tanzania ilikuwaje sikadharau michuano hii na kuiachia Gor Mahia toka Kenya kuubeba ubingwa kiwepesi?Tunajambo la kujifunza
wazungu wengi wajinga..hawana wanalolijua zaid ya walichosomea
tumelala nini bwana kama mwandishi wao yupo tanzania na anaita hiyo ni nairobi stadium sio mwandishi mwenye akili timamu huyoWazungu sio wajinga, ni sisi hatujui kuitangaza nchi yetu. Ni sisi wenye shida, sio wao. Wakenya wana kisomo cha kutosha cha kuwavutia wageni, wamejitajirisha kwa kutumia Mali zetu huku tumelala kwa uongozi mbovu. Usijipe moyo ukweli tumelala usingizi Wakati dunia inaendelea.
uko sahihi hao jamaa wengi issue kibao hawazijuiWashamba tu hao.... kuna mgombea mweza wa USA aliulizwa anaijuaje Africa. .. akasema Africa ni nchi.... hawa wazungu kwa mmoja mmoja tunawamudu sana tu ila kama society ndon wanapo tupigia bao... ni washamba tu wengibe....
Hawajui wabongo walivyo na matusihaha tuliamshe dudee
Inaonyesha jinsi gani na wao hawako makink katika kazi, hawakufanya utafiti wa kupata taarifa sahihi kama chombo cha habari.Wakulaumiwa ni ss wenyewe, Everton inacheza na Gor Mahia ya Kenya katika ardhi ya Tanzania
Obvious watakuwa wanajua wanachezea Kenya na sio Tanzania
Sent from my SM-A7000 using JamiiForums mobile app