Mbona wanavijiji wengi hawajui kusoma!Nasikia hilo gazeti wanalipeleka kwa wingi maeneo ya vijijini
Siasa za Tanzania zimefikia at da lowest point..! Kama chama tawala kinashindwa kujinadi na kujieleza kwa sera na kwa yale waliyoyafanya so far wakiwa madarakani na badala yake wanautumia muda na racilimali za taifa kukishambulia chama cha upinzani.. hakuna tena maendeleo kwa taifa..
Kumbukeni hii nchi sio property ya ccm..