Gazans: We'd Rather Be Under Israeli Occupation than Hamas...

Gazans: We'd Rather Be Under Israeli Occupation than Hamas...

Ishmael haya ndiyo majibu ya ile nyuzi uliyoikimbia jana? Ya watu weusi wanavyofanyiwa na Wayahudi?

hawez kukujibu coz hajui anajipendekeza kwa wayahud anajiita black jew haoni wenzake waethiopia waliojipendekeza km yeye walvyofungwa vzaz na ixrael govt?
 
Last edited by a moderator:
Hizo takwimu umezipata wapi???mwenzake ametoa na LINK wewe unabwabwaja maneno tu lete source ya habari yako
Unaleta propaganda za kina bibi netanyahu hapa hakuna jambo km hlo aslimia 98 ya wagaza wanaipenda hamas
 
Yusomwasha tulia dawa ipite usiwe mkali tulia.
Kwenda huko una chuk dhid ya uislam nalifahamu ilo we kila post unazopost ni kukashfu dini za watu na nchi za watu hamas hawajawah kurape boys in mosque huo ni uongo nyie jee?Mnafunga ndoa mnaoana wanaume/mashoga
makanisan hlo hulisem unakausha coz unaliKubal
 
Last edited by a moderator:
Acha Bwana kujifanya hujui mbona mwezi wa Ramadhan mauzo ya kitimoto huwa inadoda???ina maana wapigaji wazuri ni ninyi.
wakala nguruwe lini?lete link au evidence ucpayuke payuke hovyo
 
kitimoto wanakula non-muslim

إِنَّمَا حَرَّمَ عَلَيْكُمُ الْمَيْتَةَ وَالدَّمَ وَلَحْمَ الْخِنزِيرِ وَمَا أُهِلَّ بِهِ لِغَيْرِ اللَّهِ ۖ فَمَنِ اضْطُرَّ غَيْرَ بَاغٍ وَلَا عَادٍ فَلَا إِثْمَ عَلَيْهِ ۚ إِنَّ اللَّهَ غَفُورٌ رَّحِيمٌ
Kama kweli wewe mwislamu soma aya hiyo inakuruhusu kula pasina shaka ila kama hujui kusoma nitafute nikusomee Yusomwasha
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom