K Koryo2 JF-Expert Member Nov 28, 2016 2,056 2,515 Jul 25, 2018 #1 Nikiwa Mwanahisa wa Vodacom ninaomba kutaarifiwa kama gawio la Vodacom mwaka huu limetolewa kwa wanahisa?.
Nikiwa Mwanahisa wa Vodacom ninaomba kutaarifiwa kama gawio la Vodacom mwaka huu limetolewa kwa wanahisa?.
mjumbe wa bwana JF-Expert Member Sep 19, 2016 5,188 6,011 Jul 25, 2018 #2 Kwa mkuu nilipelekwa au? Kama huko limeenda basi na nyie mtapata kidogo chenu
Kinyungu JF-Expert Member Apr 6, 2008 17,370 33,017 Jul 25, 2018 #3 Bado hawajatoa japo ni kitambo tangu waseme gawiwlo litakuwa kiasi fulani. Voda hawaeleweki kama awamu ya 5
Bado hawajatoa japo ni kitambo tangu waseme gawiwlo litakuwa kiasi fulani. Voda hawaeleweki kama awamu ya 5
N NAKWEDE JF-Expert Member Aug 1, 2007 27,971 35,113 Jul 25, 2018 #4 Ulivyowauliza wakurugenzi wenu walisemaje?