Gawio la Ttcl lanikosha

Gawio la Ttcl lanikosha

Very poor

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2020
Posts
403
Reaction score
589
Baada ya muda kuwa na lain ya ttcl hatimaye Leo nimepata gawio la tsh 29000/ kama sehemu ya gawio Kwa kutumia lain ya TTCL.

Je, kwa uzoefu wako, mtandao upi unatoa gawio kubwa ukilinganisha na TTCL?
 
Kumbe mitandao ina mambo ya gawio na hamsemi ...?tigo nao wanatoa gawio..?
 
Baada ya muda kuwa na lain ya ttcl hatimaye Leo nimepata gawio la tsh 29000/ kama sehemu ya gawio Kwa kutumia lain ya Ttcl,
Je Kwa uzoefu wako, mtandao upi unatoa gawio kubwa ukilinganisha na ttcl?
ATCL na DP World
 
mkoa gani huko mnafanya miamala kwa TTCL wengine tunaiskia kwnye taarifa ya habari tu
 
IMG_8203.jpg
 
Nimeambulia gawio la Tsh.10
Hawa sitak kuwasikia ttcl pekee wamenipa gawio la 29000 elfu, na Bado Kuna wengne wamepata Zaid ya lakin Moja. Ttcl sihami

Successfully received Tsh 29,218.82 from T-PESA GAWIO- 255737811160. Your available balance is Tsh 29,120.92. Txn Ref#: 262939653.
 
watu tupo DSE mpaka sasa gawio alijaonekana wewe umetoa wapi au waarabu wamekupa na kukupaka mafuta wateleze
 
Hawa sitak kuwasikia ttcl pekee wamenipa gawio la 29000 elfu, na Bado Kuna wengne wamepata Zaid ya lakin Moja. Ttcl sihami

Successfully received Tsh 29,218.82 from T-PESA GAWIO- 255737811160. Your available balance is Tsh 29,120.92. Txn Ref#: 262939653.
Hilo Gawio sio la T-pesa...namba zimekufelisha hapo katika kuwanywesha watu chai Bosi.
Amount received imekuwa kubwa kuliko available balance.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom