Nakumbuka mwaka 2015 hisa za CRDB zilikuwa zikiuzwa 410, Magufuli alipoingia zikashuka kwa kasi ya 4G
Samia alipoingia naona zimepanda ghafla tena hadi 430 kutoka 150 in less tha 2 years, ongezeko la 200%
Tukisema yule mtu aliharibu uchumi watu wanatukana