As Salafiyyu91
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 2,537
- 2,526
Mkuu ndio watu wa iman moja tu na hao ndio walikuwa wakishirikiana na wanafunzi bega kwa bega katika mambo ya dini ndio wameonekana wao tuReform zimekuwa zikifanyika miaka nenda miaka rudi. Wengine wamekuwa hata wakifukuzwa kazi. Wamehamishwa sana tu. Wachache wameteuliwa na rais.
Hawa wachache wameamishwa kelele juu. Come on
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app