Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
Huyu jamaaa anakipaji cha aina yake! Ile kanzu enzi zangu ningelamba red card
ha ha ha mchangani hile kama ujampiga buti basi mara nyingi ule mpira mtu unaushika wapige free kick ,huwezi kumuachia mtu akupiga kanzu vile na kupokea kwa kifua noma hile unaweza kuzomewa mpaka mechi inaisha.