Gas ni ya watanzania si mtwara

kupe

JF-Expert Member
Jul 26, 2012
1,035
326
Kwahiyo wana mtwara msituletee ukabila na ukanda . je na dar nao wakisema bandari ni ya dar itakuwaje. kama hujaridhika ruksa kuhamia mkoa wowote uupendao
 
Kwahiyo wana mtwara msituletee
ukabila na ukanda . je na dar nao wakisema bandari ni ya dar
itakuwaje. kama hujaridhika ruksa kuhamia mkoa wowote uupendao

Unaelewa ni kwa nini wanataka KWANZA hiyo gas ibaka Mtwara?? Sometimes ficha upumbavu wako...
 
Kwahiyo wana mtwara msituletee ukabila na ukanda . je na dar nao wakisema bandari ni ya dar itakuwaje. kama hujaridhika ruksa kuhamia mkoa wowote uupendao

Akili yako itakuwa imekeketwa na magamba ya CCM.
 
Kwahiyo wana mtwara msituletee ukabila na ukanda . je na dar nao wakisema bandari ni ya dar itakuwaje. kama hujaridhika ruksa kuhamia mkoa wowote uupendao

Mkuu, mbona gari unadandia kwa mbele? Fatilia madai yao kwanza usiwe kama aliyepanda treni ya mwanza akitegemea ashushwe kamata.
 
Nadhani jamaa hajaelewa madai ya wana mtwara.ebana nakushauri ufatilie vizur madai ya hao wana mtwara ndipo utajua uje na thread gani ya maana ambayo kila mmoja atakuelewa!
 
Kwahiyo wana mtwara msituletee ukabila na ukanda . je na dar nao wakisema bandari ni ya dar itakuwaje. kama hujaridhika ruksa kuhamia mkoa wowote uupendao

Orodhesha madai yao alafu ndio upinge hoja

Sent from my GT-S5570 using Tapatalk 2
 
Kwahiyo wana mtwara msituletee ukabila na ukanda . je na dar nao wakisema bandari ni ya dar itakuwaje. kama hujaridhika ruksa kuhamia mkoa wowote uupendao
kwa nini usiseme gesi ni ya mataifa yote?
 
Kwahiyo wana mtwara msituletee ukabila na ukanda . je na dar nao wakisema bandari ni ya dar itakuwaje. kama hujaridhika ruksa kuhamia mkoa wowote uupendao

Unadandia treni kwa mbele....hata uelewi unaongelea nini....
 
Unafiki kama huu ndio unatuweka pabaya watanzania. Lakini kumbuka historia ina tabia ya kujirudia. Katika ili la gesi viongozi msikurupuke kisiasa kuwajibu wananchi wa mtwara. Utawala bora ni ustawi wa wananchi wote bila kujali maeneo waliyopo. Msituletee ya nigeria hapa.
 
nadhani hamjamuelewa mtoa topic! sio kwamba anapinga madai ya wana Mtwara na Lindi. yeye anakataa kusema gasi ni ya wana Mtwara na Lindi jambo ambalo hata mimi namuunga mkono. hebu fikirini kama kila mkoa ukiandamana kudai raslimali zilizoko katika mikoa husika ni mali ya Wana mikoa hiyo tutaishi katika mazingira gani?!! raslimali zote ragardless ziko mikoa ipi ni mali ya watanzania wote. jambo la maana ni kwamba tupiganie wananchi wa mikoa husika wanufaike na raslimali zilizoko katika mikoa yao kwa maana kwamba maendeleo yaonekane na sio blaa blaa!

pili serikali haipasi kutumia kauli za ubabe. isikilize madai ya wananchi. tumekuwa na raslimali lukuki lakini bado tumebaki kuwa maskini. mali zetu zinabebwa na wazungu na hao hao wazungu wanatucheka na kututukana kwa majina mabaya. fikiria Buhemba dhahabu imebebwa tumeachiwa mahandaki. wenyeji wamebaki maskini. Geita na Nyamongo dhahabu inabebwa wananchi wanabaki kutamani mabaki ya mawe baada ya kutoa dhahabu (magwangala). wnavamia migodi wachukue mabaki then wanaambulia kupigwa risasi! mwanza minofu ya sangala inabebwa kwa midege kupelekea wazungu...wakazi wa kanda ya ziwa wanabaki wanawania mapanki. mzungu mmoja kwa kutukejeli akatengeneza sinema ya mapanki, serikali ikamjia juu but mesage sent and delivered! ni mambo ya kusikitisha sana. kesho nitatoa thread ya jinsi mikataba ya utafutaji wa mafuta na gesi ilivyo ya kinyonyaji!!!!
 
Nyie endeleeni tu,kumbe watu wa mtwara si watanzania? Au kumbe rasilimali yoyote nchi hii isipopelekwa dsm basi inakuwa si kwaajili ya watanzania? Hakika watu wamechoka kilichobaki mnaandaa mazngra ya uwepo wa waasi tz we ngoja tu we are so tired.
 
Nyie endeleeni tu,kumbe watu wa mtwara si watanzania? Au kumbe rasilimali yoyote nchi hii isipopelekwa dsm basi inakuwa si kwaajili ya watanzania? Hakika watu wamechoka kilichobaki mnaandaa mazngra ya uwepo wa waasi tz we ngoja tu we are so tired.

Mnapenda uasi ee! haya kaasi, ila angalia msitegemee gastu kwamba ni suluhisho la kuwatoa kwenye umasikini mkaacha shughuli nyingine. Maana nasikia mmeacha kujishughulisha mnasubilia gas hasa vijana.
 
vyenu mumekula na wazungu vyetu tule wote!. Mumeshindwa kulinda mali zenu mkitegemea zetu?, mtegemea cha nduguye hufa heri maskini. mia
 
Ni kweli kabisa ndg yangu,rasrimali zote ni za watanzania wote na tunayo haki ya kuzitumia,ingekuwa hivyo kama wanavyohitaji wana Mtwara,basi kila mkoa hapa TZ ungelitumia rasrimali zinazopatikana mahali husika.Nina wasiwasi kama walioandamana kweli ni wana Mtwara,maana nchi yetu sasa hivi raia wake wamechanganyikana,yupo wa kutoka Musoma ,Kigoma,Kanyigo nk nk.Tafadhali tuwe makini na hizi tunazoiita siasa za ubaguzi.
 
[Unaelewa ni kwa nini wanataka KWANZA hiyo gas ibaka Mtwara?? Sometimes ficha upumbavu wako...]
NAUNGA HOJA MKONO!!!!!
 
Wanamtwara wanatambua hilo na ndiyo maana walikubali yafuatayo:
Kuichagua ccm miaka yote pamoja na kung'olewa reli huko, kuhamishwa baadhi ya miundombinu kupelekwa maeneo mengine ya tanzania.
Mikoa ya kusini kuwahifadhi wapigania uhuru wa nchi za kusini mwa afrika na kuzua wasiwasi kwa serikari ya wakati ule kuwekeza mikoa hiyo.
Bandari yenye kina cha asili kudharauliwa.
Wakati umefika rasimali za nchi zinufaishe wananchi wote na si waliopo dar. Tu, ndiyo maana jiji hilo kutokana uhamiaji wa wananchi kutoka mikoani kuendelea kwa kasi kubwa serikali imeshindwa kuwa na miundombinu kukabili hali hiyo. Wakati umefika viwanda vingi vijengwe mikoani waliko watanzania wengi. Haiwezekani watanzania wote tujekuishi dar.
 
Back
Top Bottom