Kwahiyo wana mtwara msituletee
ukabila na ukanda . je na dar nao wakisema bandari ni ya dar
itakuwaje. kama hujaridhika ruksa kuhamia mkoa wowote uupendao
Kwahiyo wana mtwara msituletee ukabila na ukanda . je na dar nao wakisema bandari ni ya dar itakuwaje. kama hujaridhika ruksa kuhamia mkoa wowote uupendao
Kwahiyo wana mtwara msituletee ukabila na ukanda . je na dar nao wakisema bandari ni ya dar itakuwaje. kama hujaridhika ruksa kuhamia mkoa wowote uupendao
Kwahiyo wana mtwara msituletee ukabila na ukanda . je na dar nao wakisema bandari ni ya dar itakuwaje. kama hujaridhika ruksa kuhamia mkoa wowote uupendao
kwa nini usiseme gesi ni ya mataifa yote?Kwahiyo wana mtwara msituletee ukabila na ukanda . je na dar nao wakisema bandari ni ya dar itakuwaje. kama hujaridhika ruksa kuhamia mkoa wowote uupendao
Kwahiyo wana mtwara msituletee ukabila na ukanda . je na dar nao wakisema bandari ni ya dar itakuwaje. kama hujaridhika ruksa kuhamia mkoa wowote uupendao
Nyie endeleeni tu,kumbe watu wa mtwara si watanzania? Au kumbe rasilimali yoyote nchi hii isipopelekwa dsm basi inakuwa si kwaajili ya watanzania? Hakika watu wamechoka kilichobaki mnaandaa mazngra ya uwepo wa waasi tz we ngoja tu we are so tired.
Usidanganyike Mtwara na Lindi kwanza Tanzania baadaye.