Gari zuri lakini linapiga kelele sana

Elia

JF-Expert Member
Dec 30, 2009
3,425
567
Linapiga kelele sana, yaani kuanzia gia ya kwanza,
siku ukiendesha hutakaa utake lingine. Ila utafurahi zaidi ukiliendesha kijijini kule hakuna msongamano mkubwa wa watu na nyumba zipo mbalimbali.

Hivi gari la hivyo nifanyeje nalo ili niendelee kulitumia lakini nisisumbue au kukera watu?
 
Broo watakao kuelewa wachache ! Wajanja tumekusosama,gari jipya hiloo eeeeeh teh teh porini pia halitasumbua , zaidi ya kuwapigia kelele Tu mbili na nyani mwana kamua mafuta bei rahisi
 
Back
Top Bottom