msaada ndugu zangu,gari yangu nilikua siitumii muda sasa na mazingira nayofanyia kazi ni kambi so waweza tumia hata miaka kumi bila kulipia maadam usifike twn ukakumbana na trafic,,road licence pamoja na bima ni karibia 1500000,,nashindwa kuhimili gharama izo na kuna jamaa alinambia anisaidie kuchakachua nilipe kidogo lkn nasikia ni feki na hazitambuliki kwenye system,,so naitaji msaada wa mawazo pamoja na ushauri nini nifanye angalau nisilipe gharama kubwa ivyo,nawakilisha,