Gari yangu inachemsha hata ikitembea KM 20

0768628314

Member
Apr 22, 2019
44
95
Habarini wana jamvi. Naomba msaada kwa wataalamu wa magari. Nina gari yangu Brevis 1JZ ina tatizo la kuchemsha. Yaani, unaweza tembea hata kilometa 20 za mwenda wa kawaida tu, mshale wa hit unapanda sana, kupelekea taa ya "Check Engine" kuwaka. Lakini ukiwa kwenye mwendo mkali, mzunguko wa weni ukiiongezeka, mshale unadeshishuka na taa ya "Check Engine" inazima. Lakini ukipunguza mwendo, taa ya "Check Engine" inawaka. Sasa sijui nifanyeje.

Mafundi wamegusa kila kona, hadi kubadili gasket, lakini bado hakuna majibu. Wanadai gari haina viashiria vya kuchemsha. Hata paipu ya maji kupeleka kwenye injini ipo sawa, lejeta ya maji iko kwa hali nzuri.

Hisia zao zinadai dashbord ilichezewa, na wakati ikirudishiwa, mishale ilikaa sehemu si sahihi. Naombeni msaada. Nimepeleka sehemu moja kupima kwenye mashine, jamaa anayepima akadai mashine haisomi, mfumo wake umechezewa. Sasa sijui nifanyeje.

Wataalam, msaada.
 
Habarini wana jamvi naomba msaada kwa wataaramu wa magari nina gari yangu brevis 1JZ ina tatizo la kuchemsha yaani unaweza tembea hata kilometa 20 za mwenda wa kawaida tu mshale wa hit ukapanda sana kupelekea taa ya chek injini kuwaka ila ukiwa kwenye mwenzo mkali mzunguko wa weni ukiongezeka mshale unadeshi kushuka shuka na taa ya chek injini inazima ila ukipunguza mwendo taa ya chek injini inawaka sasa sijui nifanyeje mafundi wamegusa kila kona hadi kubadili gasket bado majibu wanadai gari haina viashilia vya kuchemsha hata paipu ya maji kupeleka kwenye injini ipo sawa lejeta maji yamo kwa hio hisia zao wanadai dashbord ilichezewa na wakati ikirudishiwa mishale ilikaa sehemu si sahihi naombeni msaada na nilipeleka sehemu moja kupima kwenye mashine jamaa anae pima akadai mashine haisomi mfumo wake umechezewa sasa sijui nifanyeje wataalam msaada.

IMG20230506190213.jpg
 
Back
Top Bottom