Gari ikiingia maji usijaribu kuiwasha unatengeneza matatizo makubwa mtafute fundi wa umeme na Engine uone baada ya kufungua na kufuta futa vitu inakuaje hasa sehemu za plug na fuse box...watumie mashine ile ya upepo kukausha kausha...Rav 4 itawaka haina umeme mwingi ila mafundi wahusike msilazimishe kuwasha wakati gari halijachekiwa vizuri...