Wee nunua tuu. Ukikamatwa nayo si mtaenda mahakamani then wewe utasema uliuziwa na utamtaja aliyekuuzia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hela yenyewe ya ngama... halaf mdaiwa hafungwi...
Akianza kunilipa laki laki... daah
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mwambiye mkauziane POLICE....kama ni lake HATOBISHA...Habari wakuu..?
Wakat nafikiria hekaheka za kuachana na kuminyana kwenye mwendokasi, Kuna jamaa anataka kuniuzia premio new model yenye namba DA... kwa shillingi million 7.
Nipo najifikiria kwa hyo bei.. hisije ikawa jamaa anataka kuniuzia gari ya mbio( yani ya wizi).
Swali langu sasa... ntajiridhisha vip kuwa gar sio ya wizi?
Naombeni msaada wakuu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Utapata uzoefu wa kudai piaHela yenyewe ya ngama... halaf mdaiwa hafungwi...
Akianza kunilipa laki laki... daah
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kadi ya gari pamoja na vitambulisho vya mwenye gariHabari wakuu..?
Wakat nafikiria hekaheka za kuachana na kuminyana kwenye mwendokasi, Kuna jamaa anataka kuniuzia premio new model yenye namba DA... kwa shillingi million 7.
Nipo najifikiria kwa hyo bei.. hisije ikawa jamaa anataka kuniuzia gari ya mbio( yani ya wizi).
Swali langu sasa... ntajiridhisha vip kuwa gar sio ya wizi?
Naombeni msaada wakuu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
HahahaaHela yenyewe ya ngama... halaf mdaiwa hafungwi...
Akianza kunilipa laki laki... daah
Sent from my iPhone using JamiiForums
Duh kwani muuzaji hajulikani anafanya kazi gani mbona Mambo rahisi sanaYani muuzaji ni jamaa wa jamaa wa jamaa na jamaa yake na jamaa yangu...
Sent from my iPhone using JamiiForums
Gari ya 2009 pia wanaiita new modelKwa ajili yako na watanzania wengine wenye fikra kama zako japo hajibu moja kwa moja swali usipime upya wa gari kisa ina usajali wa kitanzania unaoanzia na D hii ni lugha inayotumiwa sana na madalali wa magari kisa tu imeanzia na usajili wa D unaiona mpya. Uhalisia wa upya wa gari uko kwenye mwaka uliotengenezwa na matumizi period,,