Gari ya uganda ilipoongoza maandamano Mwanza

Gari ya uganda ilipoongoza maandamano Mwanza

nguvumali

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2009
Posts
4,927
Reaction score
1,342
Katika Tukio la kusisimua Mkoani Mwanza gari walilokuwa wakitumia Polisi lilikuwa na namba za Uganda ! Je huu ni ujirani mwema, ama ?


1185043_10201901601482367_1023529751_n.jpg
 
kumbe hawa jamaa, leo nimekutana nayo moja pale chang'ombe imeandikwa FORCE ONE...
 
Polisi huwa wanafanya hivyo kuwahadaa watu...

Wengi nadhani mtakuwa mnakumbuka enzi za farasi mweupe TZR ....
 
Jaman jambo msilolijua msibweteke, ktk majeshi wapo majeshi ya kimataifa, wapo wa EA na askar kanzu, ktk hao wapo wanaotmia namba yeyote, mf. Wapo wanaotmia DFP, T285 ADM,TP Na namba za umoja wa mataifa. Kwahyo namba za usajali wa gari zisiwachanganye wakuu
 
hilo gari lipo mwanza muda mrefu tena sana na linatumiwa na polisi,,kuna siku majambazi walivamia maeneo ya buswelu huku wilayani na nililiona hilo gari likipiga doria huku askari wakivuta bangi na mirungi
 
usishangae saaana, gari yenye namba ya U
ganda; Viko vingi tu..Vipi vitu vya kichina....
 
mbona ipoingine ina namba za DUBAI hiyo ilitolewa bandarini?

Polis hubandika namba za aina mbali mbali kwenye magari Yao ili kutotambulika mapema pindi wanapokuwa kazini Sidhani Kama namba za gari ktk gari la polisi ni issue cha msingi wananchi wanataka Haki ktk kusimamia usalama Wa Raia
 
Polis hubandika namba za aina mbali mbali kwenye magari Yao ili kutotambulika mapema pindi wanapokuwa kazini Sidhani Kama namba za gari ktk gari la polisi ni issue cha msingi wananchi wanataka Haki ktk kusimamia usalama Wa Raia
Nimekupata hapo, Njia ya siri za intelijensia.
 
Back
Top Bottom