Gari ya kukodi inatafutwa

Gari ya kukodi inatafutwa

The Tactician

Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
18
Reaction score
3
Habari zenu wakuu,

Nahitaji kukodi gari zifuatazo kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale ndani ya jiji la Dar es Salaam.

Yoyote mwenye moja kati ya hizi au zote kwa pamoja naomba aipost gari hapa tujadili au anicheki kupitia +255627315218 niione gari, kisha tu jadili gharama na maandikishano.

NB: Gari iwe katika hali nzuri, yaani iwe "Roadworthy".

Karibuni
images - 2022-12-02T215321.898.jpeg
images - 2022-12-02T215634.283.jpeg
images (12).jpeg
images - 2022-12-02T215203.015.jpeg
037daebfffe575e6d213c6d8ce19b332 (1).jpg
81c4e0c46556154eb50593ce83d593e5.jpg
124e9957ad13db56ccb73e393ad3cce8.jpg
images - 2022-12-02T221016.533.jpeg
images - 2022-12-02T221329.846.jpeg
 
Tangazo halijakamilika mkuu, ofa yako? Dereva atakuwa mmiliki wa gari au wewe?
 
Back
Top Bottom