K KANAL Senior Member Joined Dec 26, 2012 Posts 112 Reaction score 66 Jan 26, 2013 #1 NINAUZA GARI TOYOTA STOUT KWA TSH7,000,000 TU.Model 2200 inatumia petrol, serious buyer anicheki kwenye namba0766205803
NINAUZA GARI TOYOTA STOUT KWA TSH7,000,000 TU.Model 2200 inatumia petrol, serious buyer anicheki kwenye namba0766205803
Mjamaica Member Joined Apr 3, 2012 Posts 84 Reaction score 24 Jan 28, 2013 #2 Mkuu Kanali hiyo stout ina km ngapi mbona bei kubwa hivyo!!!!! wewe unapatikana wapi mimi naitaka ila bei yako mkasi mkuu! punguza then ongea usikike!
Mkuu Kanali hiyo stout ina km ngapi mbona bei kubwa hivyo!!!!! wewe unapatikana wapi mimi naitaka ila bei yako mkasi mkuu! punguza then ongea usikike!
KARIA JF-Expert Member Joined Jan 15, 2011 Posts 717 Reaction score 473 Jan 28, 2013 #3 Weka picha tuisaminishe!
M Morinyo JF-Expert Member Joined Aug 26, 2011 Posts 2,797 Reaction score 1,593 Jan 28, 2013 #4 KANAL said: NINAUZA GARI TOYOTA STOUT KWA TSH7,000,000 TU.Model 2200 inatumia petrol, serious buyer anicheki kwenye namba0766205803 Click to expand... Haya magari bado yapo kweli?
KANAL said: NINAUZA GARI TOYOTA STOUT KWA TSH7,000,000 TU.Model 2200 inatumia petrol, serious buyer anicheki kwenye namba0766205803 Click to expand... Haya magari bado yapo kweli?
Poxino JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 727 Reaction score 53 Jan 28, 2013 #5 Wewe unauliza yapo wenzako wananua kaka
K KANAL Senior Member Joined Dec 26, 2012 Posts 112 Reaction score 66 Jan 28, 2013 Thread starter #6 mkuu mjamaica mi nipo khm,gari ina km zakutosha lakini siunajua hizi ni gari za kazi,kama upo serious bei inapungua
mkuu mjamaica mi nipo khm,gari ina km zakutosha lakini siunajua hizi ni gari za kazi,kama upo serious bei inapungua
NIGGA JF-Expert Member Joined Jan 23, 2013 Posts 1,239 Reaction score 641 Jan 28, 2013 #7 Weka picha mkuu,tutoe tathmini,pia weka na details zingine kama mwaka n.k