Sijaomba namba ya mtu mkuu,nimeomba email ya mtu ambaye atakuwa interested ili niweze kutuma details zaidi pamoja na picha,tatizo ni nini mkuu kwani? TRA si wapo,pamoja na vyombo vingine kuhakiki? Mbona unaniita majina siyo yangu?
mmmh hilo gari umeiba wewe!
ama utaka kuwadhulum ndugu zako
sijui wewe mwenyekiti wa ccm tawi gani
Sijaomba namba ya mtu mkuu,nimeomba email ya mtu ambaye atakuwa interested ili niweze kutuma details zaidi pamoja na picha,tatizo ni nini mkuu kwani? TRA si wapo,pamoja na vyombo vingine kuhakiki? Mbona unaniita majina siyo yangu?