Gari nzuri inauzwa bei sawa na bure..

Gari nzuri inauzwa bei sawa na bure..

Don Calvino

Senior Member
Joined
Mar 3, 2012
Posts
113
Reaction score
29
Body na engine iko nzuri bado,1998 model haijawahi kupata ajali kubwa.Nina dharura nauza.Private message maelezo zaidi.
 
Body na engine iko nzuri bado,1998 model haijawahi kupata ajali kubwa.Nina dharura nauza.Private message maelezo zaidi.

Kama kweli una dharula kuwa muwazi,....

Aina ya gari, CC, Insurance cover ikoje, weka picha, na imetembea KM ngapi ingawa gari nyingi zinazouzwa Dar/TZ huwa zinachakachuliwa milage,
 
Kutokanj na experience ya kuuza vitu kwenye internet unakutana na baadhi ya watu wanasema tukutane labda mbagala tuongee,unaenda kumbe mtu hayupo serious,thats why nimesema kama mtu upo serious maswali na majibu kwa private message,mtu akitaka maelezo niwekee email yako hapo nitakutumia kwa email pia.
Body na engine iko nzuri bado,1998 model haijawahi kupata ajali kubwa.Nina dharura nauza.Private message maelezo zaidi.
 
1998 Mitsubishi FTO sports car,maelezo mengine ukitaka weka email yako utatumiwa mpaka picha
 
1998 Mitsubishi FTO sports car,maelezo mengine ukitaka weka email yako utatumiwa mpaka picha


Mimi naona hauko serious. Wewe umesema unauza gari, watu wanakuuliza maswali yanayo husu hilo gari, pia uwapatie picha, wewe unataka wakupe No. zao za simu (Contact zao ili muwasiliane kwa private SMS, au kama wanataka wakupe e-mail yao ili uwasiliane nao.

Nawasiwasi na wewe, yawezekana kabisa wewe ni tapeli. - Sorry for that.

Wewe ndo unapaswa uweke contact zako pamoja na email zako ili kama kuna mtu anahitaji awasiliane na wewe.

AU UNAUZA UNGO
 
Mimi naona hauko serious. Wewe umesema unauza gari, watu wanakuuliza maswali yanayo husu hilo gari, pia uwapatie picha, wewe unataka wakupe No. zao za simu (Contact zao ili muwasiliane kwa private SMS, au kama wanataka wakupe e-mail yao ili uwasiliane nao.

Nawasiwasi na wewe, yawezekana kabisa wewe ni tapeli. - Sorry for that.

Wewe ndo unapaswa uweke contact zako pamoja na email zako ili kama kuna mtu anahitaji awasiliane na wewe.

AU UNAUZA UNGO
hahahahahaaa!!!

Usishangae, waswahili hawajui biashara!
yeye ndo mwenye shida, halafu anagoma kutoa taarifa kamili,
kwani akitoa particulars, gari itachakaa au??

Au UNGO??!!!
 
Sijaomba namba ya mtu mkuu,nimeomba email ya mtu ambaye atakuwa interested ili niweze kutuma details zaidi pamoja na picha,tatizo ni nini mkuu kwani? TRA si wapo,pamoja na vyombo vingine kuhakiki? Mbona unaniita majina siyo yangu?
Mimi naona hauko serious. Wewe umesema unauza gari, watu wanakuuliza maswali yanayo husu hilo gari, pia uwapatie picha, wewe unataka wakupe No. zao za simu (Contact zao ili muwasiliane kwa private SMS, au kama wanataka wakupe e-mail yao ili uwasiliane nao.

Nawasiwasi na wewe, yawezekana kabisa wewe ni tapeli. - Sorry for that.

Wewe ndo unapaswa uweke contact zako pamoja na email zako ili kama kuna mtu anahitaji awasiliane na wewe.

AU UNAUZA UNGO
 
Mtu anakuambia haupo serious wewe unamwambia hujamwelewa? eti unampa pole kwa kutokuwa na email adress?

Ndo maana biashara zinatudodea. Halafu tunatafuta mchawi, kumbe wachawi ni sisi wenyewe. Kauli zetu si za kibiashara.
Nimeona watu wengi waliopoteza fursa za biashara kwa kauli mbofumbofu. Kazi tunayo!
 
Instruction zipo simple sana kama umeelewa tangazo langu,nimesema kwa maelezo zaidi nitumiwe private message,au unaweza ukanipa email yako nikutumie details,bado hujaelewa mkuu?
Mtu anakuambia haupo serious wewe unamwambia hujamwelewa? eti unampa pole kwa kutokuwa na email adress?
 
mnh wengine huwa wanaleta picha hapa na particulars wewe unataka utafutwe uzitume kny email kwani ukiweka hapa itakuwaje??naskia harufu ya utapeli....utakuwa unauza kimeo wewe
 
toa kontakti/particulars za gari kwanza jamii ione mwenye kuhitaji atakutafuta mambo hadharini nini kuficha kama upo kwenye biashara
 
Hiyo gari si mliachiwa urithi na baba yenu, kwa nini unataka kuiuza kinyemela bila kuwajulisha wadogo zako.? kama mimi mwongo thubutu kumwaga mapicha na particulars zake humu JF.
 
Nakusikitikia sana huku nikicheka,wenzako wote wameshapewa details na picha kwa private message,huku wengine wameshakagua na kwenda TRA kufuatilia ownership na sehemu nilipoagizia n.k. Wewe bado tu hujaelewa instructions,kwani private message za Jamii Forums zimewekwa urembo?
Hiyo gari si mliachiwa urithi na baba yenu, kwa nini unataka kuiuza kinyemela bila kuwajulisha wadogo zako.? kama mimi mwongo thubutu kumwaga mapicha na particulars zake humu JF.
 
Sijaomba namba ya mtu mkuu,nimeomba email ya mtu ambaye atakuwa interested ili niweze kutuma details zaidi pamoja na picha,tatizo ni nini mkuu kwani? TRA si wapo,pamoja na vyombo vingine kuhakiki? Mbona unaniita majina siyo yangu?

Mkuu,
That's not how modern business works! Katika dunia ya sasa, hakuna atakayetaka (kununua) gari akashindwa kuipata gari ya kununua.....kinyume chake, wapo kibao wanaotaka kuuza magari yao lakini wanakosa wanunuzi!! Nawe, unaingia kwenye kundi la wauzaji wengi wasio na uhakika wa kupata wanunuzi (potential buyers)! Hivyo basi, mtu kama wewe ndie ulitakiwa kumwaga sifa zote za bidhaa yako ili ziweze kumvuta hata yule ambae hakufikiria kununua kwa sasa! Maringo ya wauzaji ya wauza bidhaa yalishaisha tangu zama za Nyerere! Kama unahitaji potential buyers, make photoz of ur car kisha zi-post hapa unless kama unazani haina good look! Toa specification na kuzipamba vilivyo....kumbuka kuzifanya weakness za gari yako kuwa opportunity! Kwa mfano, watu wengi hawapendi gari yenye cc kubwa kutokana na kunywa sana wese! Hii ni weakness....ambayo unaweza kuieleza kwamba ina cc 3000 ambayo kutokana na ukubwa wake inakuwezesha kwenda nayo hadi South Africa with your princess/prince beside u.....u don' need 2 board planes or buses any more when u own dis car!!! Huo ni mfano tu!
 
Back
Top Bottom