Don Calvino
Senior Member
- Mar 3, 2012
- 113
- 29
Body na engine iko nzuri bado,1998 model haijawahi kupata ajali kubwa.Nina dharura nauza.Private message maelezo zaidi.
Body na engine iko nzuri bado,1998 model haijawahi kupata ajali kubwa.Nina dharura nauza.Private message maelezo zaidi.
Body na engine iko nzuri bado,1998 model haijawahi kupata ajali kubwa.Nina dharura nauza.Private message maelezo zaidi.
Haupo 'siriasi':ranger:
1998 Mitsubishi FTO sports car,maelezo mengine ukitaka weka email yako utatumiwa mpaka picha
hahahahahaaa!!!Mimi naona hauko serious. Wewe umesema unauza gari, watu wanakuuliza maswali yanayo husu hilo gari, pia uwapatie picha, wewe unataka wakupe No. zao za simu (Contact zao ili muwasiliane kwa private SMS, au kama wanataka wakupe e-mail yao ili uwasiliane nao.
Nawasiwasi na wewe, yawezekana kabisa wewe ni tapeli. - Sorry for that.
Wewe ndo unapaswa uweke contact zako pamoja na email zako ili kama kuna mtu anahitaji awasiliane na wewe.
AU UNAUZA UNGO
Sijakuelewa? Kama huna email adress pole sana.
Mimi naona hauko serious. Wewe umesema unauza gari, watu wanakuuliza maswali yanayo husu hilo gari, pia uwapatie picha, wewe unataka wakupe No. zao za simu (Contact zao ili muwasiliane kwa private SMS, au kama wanataka wakupe e-mail yao ili uwasiliane nao.
Nawasiwasi na wewe, yawezekana kabisa wewe ni tapeli. - Sorry for that.
Wewe ndo unapaswa uweke contact zako pamoja na email zako ili kama kuna mtu anahitaji awasiliane na wewe.
AU UNAUZA UNGO
Mtu anakuambia haupo serious wewe unamwambia hujamwelewa? eti unampa pole kwa kutokuwa na email adress?
Sijakuelewa? Kama huna email adress pole sana.
Mtu anakuambia haupo serious wewe unamwambia hujamwelewa? eti unampa pole kwa kutokuwa na email adress?
Hiyo gari si mliachiwa urithi na baba yenu, kwa nini unataka kuiuza kinyemela bila kuwajulisha wadogo zako.? kama mimi mwongo thubutu kumwaga mapicha na particulars zake humu JF.
Sijaomba namba ya mtu mkuu,nimeomba email ya mtu ambaye atakuwa interested ili niweze kutuma details zaidi pamoja na picha,tatizo ni nini mkuu kwani? TRA si wapo,pamoja na vyombo vingine kuhakiki? Mbona unaniita majina siyo yangu?