Gari ndogo inahitajika (vitz,starlet and the like)

Gari ndogo inahitajika (vitz,starlet and the like)

Andrew Kellei

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2009
Posts
348
Reaction score
123
Wakuu inahitajika gari ndogo ya matumizi ya hapa mjini Dar es Salaam ambayo matumizi ya mafuta ni ikonomiko.
Iwe katika hali nzuri na iwe inatembea.
Iwe hapa hapa Dar bajeti mil 4.
Kwa walio siriaz kusaidia naomba wani PM.
 
Hyundai xg 300 registration 2003 amount US$ 15,000 at your door. All duties paid. Executive black, Limousine/sedan

Vipi hii iankukuna?
 
mkuu wee mkareeeee...yani unataka vitz ya 4m??...labda starlet ila vitz utakuwa unaleta maskhara aisee...hebu jaribu kuchungulia hizi gari bei za showrooms ndio uje na proposal yako ya bei... ni ushauri tuu
 
mkuu wee mkareeeee...yani unataka vitz ya 4m??...labda starlet ila vitz utakuwa unaleta maskhara aisee...hebu jaribu kuchungulia hizi gari bei za showrooms ndio uje na proposal yako ya bei... ni ushauri tuu
hata kwa 6m haupati kwa mtu na showrooms zinaanzia 8m kwenda mbele
 
mkuu wee mkareeeee...yani unataka vitz ya 4m??...labda starlet ila vitz utakuwa unaleta maskhara aisee...hebu jaribu kuchungulia hizi gari bei za showrooms ndio uje na proposal yako ya bei... ni ushauri tuu

Asante kwa ushauri.
 
hata kwa 6m haupati kwa mtu na showrooms zinaanzia 8m kwenda mbele
Hayo ni mawazo yako,nipo kwenye mazungumzo na jamaa anataka 6M,nataka anipunguzie kidogo kwani tatizo ni hela.
 
WE UNAONEKANA UNATAKA GARI AMBAYO NI VERE VERE FOURTH USED.
kwanini usisubiri ukaongezea hela hela ukapata HATA starlet nzuri.

mi nauza carina TI imported nov.2011 KWA SH.9.5M
 
Hayo ni mawazo yako,nipo kwenye mazungumzo na jamaa anataka 6M,nataka anipunguzie kidogo kwani tatizo ni hela.

Mkuu sio unanunua gari badala ya kufanya mambo mengine kutwa kushinda garage na mafundi,hizo gari siku hizi zina bei sana kutokana kupanda kwa mafuta,yaani bei yake inaenda kuipita cresta gx 100 kwa kuwa ni six cylinder cc 2500 wakati vitz ina cc 980
 
Back
Top Bottom