shin gun wook
JF-Expert Member
- Sep 26, 2017
- 995
- 1,515
Wakuu nimepita mida hii maeneo ya Mlandizi,kuna ajali mbaya sana imetokea..limegonga wanafunzi wawili ,mmoja kafariki apo apo na Dereva kakimbizwa hospitali. Picha sijafanikiwa ila naamini zitakuja,madereva wa gari za serikali na hizi speed barabarani wadhibitiwe