Gari linauzwa tshs 4,000,000.00

Gari linauzwa tshs 4,000,000.00

Wilbert1974

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2011
Posts
1,632
Reaction score
481
DSC09798.JPG
Kwa anayependa tuwasiliane...
Toyota Carina (1990), My road, white, right hand drive, automatic, 4 doors, power windows, engine 1.6cc, fuel Petrol, New tyres, valid registrations etc.
LINATEMBEA…
Maelezo zaidi wasiliana na 0754489001 au 0658489001
 
" Hivi ni nani anayewauzia wasanii magari? Maana wanatumia mda mwingi gereji kuliko barabarani"---Fidq
 
Hapo baada ya muda na wewe mwenyewe lazima ujue ufundi maana kila kukiacha utakua unajifunza ufundi wa kitu kipya.
 
Kama ni kwa lengo la kutaka lifie mlangoni kwako ili watu wawe wanaona kuwa wakati fulani nawe ulikuwa na gari, linafaa sana.
 
View attachment 56115
Kwa anayependa tuwasiliane...
Toyota Carina (1990), My road, white, right hand drive, automatic, 4 doors, power windows, engine 1.6cc, fuel Petrol, New tyres, valid registrations etc.

LINATEMBEA…

Maelezo zaidi wasiliana na 0754489001 au 0658489001

umri wa mpiga kura 2015, nakupa offer ya 1m; nikaliscrup
 
Je ilishagogwa au kupigwa rangi na kwanini unauza?

Nikipata hayo majibu nitakutafuta.
 
mmmh, hapo urafiki na mafundi lazima

Mkuu naunga mkono hoja yako: Toyota Carina (1990), My road, white, right hand drive. Ina maana ni gari ya mwaka 1990 ? na sasa 2012. Kwa mantiki hiyo, 2012 - 1990 = miaka 22. Miaka minne zaidi ya umri wa mtu mzima !!! Ukinunua hilo, utakuwa umenunua umasikini - pesa kuishishia kwa mafundi; na ugomvi na Bosi wako maana utakuwa unachlewa kufika kazini.
 
umri wa mpiga kura 2015, nakupa offer ya 1m; nikaliscrup

Mtoto aliyezaliwa wakati hiyo gari inatoka sasa ana miaka 22, yaani anaweza kuwa na mtoto pia. Hiyo nashauri uiweke home kwa ajili ya kumbukumbu au iwe nyumba ya paka. Bila utani imechoka.
 
Mkuu vipi bodi yake ishapata misukosuko ya kugongwa.Ilisha wahi kula mkenge hata mara 1.
 
hii ungepeleka machimboni mererani fasta unapata soko
lakini kwa mjini sidhani litakuozea
 
Je ilishagogwa au kupigwa rangi na kwanini unauza?

Nikipata hayo majibu nitakutafuta.
Halijawahi gongwa; ila lipinduka lenyewe 2006 baada ya kuburst tairi ilibidi kupakwa rangi na kuweka kioo kingine cha mbele hapo ilikuwa kama mwezi mmoja tangu kununuliwa...
Tunauza sababu limetuchosha na hatuna sababu ya kuwa na gari zaidi ya moja kwa sasa!
Lilikuwa linafanya kazi ya tax sasa hailipi...
 
Halijawahi gongwa; ila lipinduka lenyewe 2006 baada ya kuburst tairi ilibidi kupakwa rangi na kuweka kioo kingine cha mbele hapo ilikuwa kama mwezi mmoja tangu kununuliwa...
Tunauza sababu limetuchosha na hatuna sababu ya kuwa na gari zaidi ya moja kwa sasa!
Lilikuwa linafanya kazi ya tax sasa hailipi...
Kama mpaka leo hujapata mnunuzi, ina maana haiuziki. Ila nina wazo moja: anza kuliuza kama chanzo cha vipuri. Mfano mimi nahitaji hiyo stabilizer rods, tires, engine mounts, mikono, usukani, etc kama upo tayari ni PM.
 
Back
Top Bottom