Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,958
Barabara mbovu chini ya usimamizi wa ccm lazima ajali zitokee za kutoshaWakuu
Taarifa za hivi punde zinasema kuwa gari la kampuni ya vinywaji TBL likiwa katika safari zake limepata ajali maeneo ya Tabata jijini Dar es salaam.
Hakuna taarifa za wahanga hadi sasa lakini baadhi ya mashuhuda wa ajali hiyo wameonekana wakijipatia vinywaji vya bure.
Tutawaletea mrejesho zaidi.
Aksantenia
Nani amekwambia chanzo cha ajali ni ubovu wa barabara? Au umejiongeza kibavicha?Barabara mbovu chini ya usimamizi wa ccm lazima ajali zitokee za kutosha
Tulia wewe mammalia wa lumumbaNani amekwambia chanzo cha ajali ni ubovu wa barabara? Au umejiongeza kibavicha?
Tuliza papuchi lako mtoto mzuri utapakatwaTulia wewe mammalia wa lumumba
Naona umeanza kukata miuno kama asha madinda na bado ikikolea utakata mpaka kichwaTuliza papuchi lako mtoto mzuri utapakatwa
Utaliwa ndogo hadi utakapoacha mawazo mgando,chok* la ufipaNaona umeanza kukata miuno kama asha madinda na bado ikikolea utakata mpaka kichwa
Kata miuno mpaka iishie yote wewe mammaliaUtaliwa ndogo hadi utakapoacha mawazo mgando,chok* la ufipa
Akili yake mbovu huyoNani amekwambia chanzo cha ajali ni ubovu wa barabara? Au umejiongeza kibavicha?