Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Silinda hedi na gasketi yake...TATIZO lipo Kwenye engine Hilo....
Hivi havina shida.Hapo ni mfumo wa kupooza injini ndo utakuwa na shida. Chek rejeta, feni, na pipes maji yanakopita
Unaweza elezea kidogo hili?Naona ndo inaweza kuwa ndo tatizo?Silinda hedi na gasketi yake...
Anza na fen,Kama zipo mbili moja ni ya engine na nyingine ni ya AC,Kama IPO moja check kwanza joti la gari likiwa chini inazunguka?joti likipanda inazunguka?ukiwasha AC inazunguka au inasimama?Unaweza elezea kidogo hili?Naona ndo inaweza kuwa ndo tatizo?
Angepata harufu ya fan belts , ac compressor iki jam belts ndo Inakuwa za kwanza kuumia, mine ziliwahi nisababishia moto baada ya ac compressor ku jamCompressor imekufa inagoma kuzunguka au kuzunguka kwa taabu
Badilisha A/C compressor problem solved
Ukiwasha A/C compressor inabana ili kufua a.c so kama inastaki gari lazima iwe nzito na kuchemkaView attachment 1687608
Niliwahi kupata changamoto hii kwenye gari dogo la Toyota. Kabla ya hapo, injini ilikuwa imefanyiwa overhaul. Baada ya matengenezo, hilo tatizo likaanza.Ni gari yangu aina ya Clavia Vitz,mara nyingi mida ya mchana joto likiwa kali,nikiwasha A.C gari ina nguruma zaidi then baadaye naona alama kwenye dash board kuonyesha injini imechemka.Nini shida hapo???
Gasket head ina uhusiano ganj na A/CAngepata harufu ya fan belts , ac compressor iki jam belts ndo Inakuwa za kwanza kuumia, mine ziliwahi nisababishia moto baada ya ac compressor ku jam
My best bet kwa tatizo lake itakuwa ni head gasket.
Angepata harufu ya fan belts , ac compressor iki jam belts ndo Inakuwa za kwanza kuumia, mine ziliwahi nisababishia moto baada ya ac compressor ku jam
My best bet kwa tatizo lake itakuwa ni head gasket.
Cylinder head gasket ikiungua gani inakua inachemsha ukitembea umbali flani.Gasket imefanyaje? na implication yake ni nini??
Cylinder head gasket ikiungua gani inakua inachemsha ukitembea umbali flani.
Mtoa mada kaswma gari inachemsha akiwasha A/C ao tatizo lake halihusiani na cylinder head gasket ila ni a.c compressor inazunguka kwa shida hivyo kyoelekea injini.kutumia nguvu kubwa kuzunguka ndio maana inachemka.
Ingekuwa cylinder head gasket ingechemsha hata bila kuwasha .A.C
Wadau mimi nina spacio new model ya mwaka 2004, cc 1490. Naomba kwa mwenye kufahamu anisaidie kujua inaingia lita ngap za transmission fluid. Mafundi wetu wa mtaani wananichanganya sana. Naomba msaada kabla sija ua kabisa gear box ya gari yangu