Hakika kaka 100% ni Bonge LA gari,Nina rd1 acha kabisa mwaka Wa pili kimya sasahivi nipo singida naenda Arusha ,nainjoi saana hii garimkuu chukua honda crv ni gari nzuri nimekuwa nalo kwaka wa 7 sasa halijanisumbua zaidi ya service za kawaida na nasafiri nalo sana,kwa upande wa spare zipo kibao sasaivi tofauti na zamani ni gari ngumu sana pia