Gari ipi bora kati ya Honda CRV na Toyota Verossa

mashizo

Member
Feb 24, 2009
43
32
habari zenu wakuu
naomba kuuliza ipi gari nzuri ya kununua kati ya Honda CRV na Toyota Verossa. Ipi ni economic na inafaa kwa masafa ya mbali
 

Attachments

  • 1.jpg
    1.jpg
    170.3 KB · Views: 433
  • 2.jpg
    2.jpg
    80.3 KB · Views: 482
mkuu mie sio mtu wa magari.
ila kwa kesi za gerage,hizo zooote zinafanana.
kinachonikera kwa verosa
-ni sura,aisee gari hii kwangu inasura mbaya kweli,yaani ipo kama vile mtu ametoka kijijini halafu umempeleka posta antoa mimachoo,ndio sura yake
-gari ya chini kwa Dar kwangu sio dili.
-zimekuwa hazina heshima mjini,ukiona gari inaimbwa saaana kwenye nyimbo,jua imekaa kihunihuni.ukienda parking ya Bar na guest houses zipo teleeeeeeeee

Ninachopenda kwa honda
-Kwanza imekaa kama diplomatic vehicle,kimtindo lakini sio kiviiile
-pili gari ya juu ndio mpango mzima,sio unakaa kwenye gari hata mwenye Noah akitema mate yanakudonokea,we unajisikiaje plae dem anapita na gari ya juu hlafu wewe unabakia kuchungulia kwa chini,aibu aisee

mkuu kitu honda,verosa zilipendwa utakuja kuiuza bila kupata mteja,waulize wenzio wa ALTEZA wanavyozitia sokoni kwa sasa kwa bei mpovu.

Ni bora GX 110 inamuundo mkali sana kuliko verosa sura mbaya,sura ya uzezeta,sura kama rooney
 
Spare za honda generation 1 and 2 zimejaa madukani..msimbazi..kule ilala..na hata used zipo kibao tu. Mdau chukua honda hutajutia..na nzuri zaidi km unapenda safari masafa..hata vx akikaa vibaya atasoma namba..
 
Achana kabisa na gari inayoitwa HONDA CRV nilishawahi kubwa nayo nikaiuza kwa bei ya kutupwa kwanza spare shida halafu haya ukipata bei yake ni balaa haitaki spare fake ila ulaji wake wa mafuta ni nzuri saaaaaaaaaaana,verosa kwanza mafuta engen kubwa zile tafuta kama Rav 4 itakufaa zaidi
 
Mhh yaan hapo ni sawa na kusema marehem na maiti so ndo utajua tofaut ya hizo gari kwa ushauri wangu kama unatoa hela yako achana na hizo gari kaangalie mara elfu themanini ukanunue ti au opa lakin kama unapewa bure chukua honda utakuja kuiweka kibarazan kama kumbukumbu yako ulikua na gar miaka hiyo maana kuna watu kibao wameziweka kama mainyeaho
 
Hebu kesho siku nzima ukiwa kwenye mishe zako angalia utakutana na CRV ngapi? Hizi gari ni kimeo karibu zote zime park majumbani same.as Vibenz vidogo,freelander, rvr na Nadia zina phase out zeneyewe.

Kwa verosa kama unapenda gari za Engine kubwa chukua brevis
 
mkuu mie sio mtu wa magari.
ila kwa kesi za gerage,hizo zooote zinafanana.
kinachonikera kwa verosa
-ni sura,aisee gari hii kwangu inasura mbaya kweli,yaani ipo kama vile mtu ametoka kijijini halafu umempeleka posta antoa mimachoo,ndio sura yake
-gari ya chini kwa Dar kwangu sio dili.
-zimekuwa hazina heshima mjini,ukiona gari inaimbwa saaana kwenye nyimbo,jua imekaa kihunihuni.ukienda parking ya Bar na guest houses zipo teleeeeeeeee

Ninachopenda kwa honda
-Kwanza imekaa kama diplomatic vehicle,kimtindo lakini sio kiviiile
-pili gari ya juu ndio mpango mzima,sio unakaa kwenye gari hata mwenye Noah akitema mate yanakudonokea,we unajisikiaje plae dem anapita na gari ya juu hlafu wewe unabakia kuchungulia kwa chini,aibu aisee

mkuu kitu honda,verosa zilipendwa utakuja kuiuza bila kupata mteja,waulize wenzio wa ALTEZA wanavyozitia sokoni kwa sasa kwa bei mpovu.

Ni bora GX 110 inamuundo mkali sana kuliko verosa sura mbaya,sura ya uzezeta,sura kama rooney
Nadhani unamaanisha mitt Romney na sio rooney tafadhali.
 
Spare za honda generation 1 and 2 zimejaa madukani..msimbazi..kule ilala..na hata used zipo kibao tu. Mdau chukua honda hutajutia..na nzuri zaidi km unapenda safari masafa..hata vx akikaa vibaya atasoma namba..
Labda unamaanisha vx safari zile gari za wahindi sio Toyota vx mkuu
 
Back
Top Bottom