Malaki Member Jan 12, 2016 84 39 Apr 9, 2016 #1 ,,,, Attachments 1460179663452.jpg 113.1 KB · Views: 60 1460179715243.jpg 159 KB · Views: 55 1460179749263.jpg 170.4 KB · Views: 72 1460179776769.jpg 135.4 KB · Views: 60 1460179800082.jpg 136.8 KB · Views: 54
chakii JF-Expert Member Sep 15, 2013 20,819 26,180 Apr 9, 2016 #2 Unauza au unagawa bure? maelezo hayajitoshelezi mkuu
chakii JF-Expert Member Sep 15, 2013 20,819 26,180 Apr 9, 2016 #3 edsonmsakala said: Kama yap mkuu Click to expand... Gari ipo wapi, weka wazi bei yako. Nadhani hii gari unairudisha kwa mara nyingine tena. Kama unataka kuliuza basi weka wazi maelezo yako ili upunguze maswali
edsonmsakala said: Kama yap mkuu Click to expand... Gari ipo wapi, weka wazi bei yako. Nadhani hii gari unairudisha kwa mara nyingine tena. Kama unataka kuliuza basi weka wazi maelezo yako ili upunguze maswali
Zamaulid JF-Expert Member May 25, 2009 19,690 15,488 Apr 9, 2016 #5 bunazi said: Bp hiyo jamani inauzwa Click to expand... Acha kuharibu biashara ya mwenzio basi
chakii JF-Expert Member Sep 15, 2013 20,819 26,180 Apr 9, 2016 #6 Zamaulid said: Acha kuharibu biashara ya mwenzio basi Click to expand... Anaharibu vipi mkuu? kuna dalili za mtu kupigwa hapa... mbona kama mnateteana
Zamaulid said: Acha kuharibu biashara ya mwenzio basi Click to expand... Anaharibu vipi mkuu? kuna dalili za mtu kupigwa hapa... mbona kama mnateteana
sajosojo JF-Expert Member Apr 14, 2010 1,021 636 Apr 9, 2016 #7 unaposema engine mpya unamaanisha nini?
Malaki Member Jan 12, 2016 84 39 Apr 9, 2016 Thread starter #8 Injin imewekwa nyingine. Ndo namaanisha injin mpya sajo
Mbwa dume JF-Expert Member Jan 15, 2014 5,923 10,180 Apr 9, 2016 #9 Hivi kumbe hiyo nayo ni gari?! Duh...ngoja nipite kimya nami nikalete guta langu niuze watanunua tu!
M Mwanapropaganda JF-Expert Member Aug 19, 2014 4,235 2,508 Apr 9, 2016 #10 Milioni 20 mbona kubwa sana mkuu.