Bora Ungekaa kimya watu wasigejuwa kutojuwa kwako kiswahili, kuliko kuonyesha jinsi lugha ya kiswahili inavyo kupiga chenga neno yauzwa inamaanisha bidhaa ipo sokoni neno imeisha uzwa inamaanisha bidhaa hapo sokoni, angalieni hicho kiswahili chenu cha elimu bure na shule za kata kutaka kukosoa, wakati ni debe tupuhalishi kutika