Gari (Corsa) Bei poa

Gari (Corsa) Bei poa

Chozy

Senior Member
Joined
Aug 22, 2012
Posts
172
Reaction score
47
Ipo kwenye hali nzuri milioni 5 tu, maongezi yapo. Changamkia mkoko huo hutojuta maamuzi yako, kwann uikose kwa mfano embu check mwenyewe. Nipm aliyetayari tufanye biashara
 

Attachments

  • 1425404494254.jpg
    1425404494254.jpg
    98.7 KB · Views: 427
Kitu kipyaaaaaaa
 

Attachments

  • 1425406320913.jpg
    1425406320913.jpg
    64.8 KB · Views: 277
Ipo kwenye hali nzuri milioni 5 tu, maongezi yapo. Changamkia mkoko huo hutojuta maamuzi yako, kwann uikose kwa mfano embu check mwenyewe. Nipm aliyetayari tufanye biashara

Mileage please, I have 2.5 Milion, can I buy it?
 
Mkuu kuwasaidia wale wenye nia au hamu ya kuwa na magari ni vizuri ukiweka vitu kama ukubwa wa injini, ulaji wa wese, kama ina bima au la. Je imewahi kupata ajali au la na nyingine ambazo kabla mtu hajapiga simu anakuwa tayari anajua kirahisi.
 
Nimeshapokea maombi kadhaa, wahi mwenye dau kubwa anaung'oa mkoko huo, mafuta utaenjoy mwenye top 3.8 million
 
Haya jamani kuna wanaokaribia angalau 3.5m niweze kumkabidhi mtu chake, changamkieni fursa hiyo fanya maamuzi sasa ya kumiliki gari yako. Kwann uikose hii corsa kwa mfano
 
Back
Top Bottom