Gari box body ya kukodi inahitajika

Gari box body ya kukodi inahitajika

kaale

Member
Joined
May 19, 2014
Posts
96
Reaction score
36
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwena sokoni.
VIGEZO.

1.Gari iwe na dereva wake.
2.Dereva atalipwa na mwenye gari.
3.Tani 3.
4.Gari itakodiwa kwa mwendelezo na malipo ni kila baada ya mwezi.
5.Kiwango cha siku ni Tsh.60,000-70,000 kutegemea na gari.
6.Gari lazima ilale Godown/Ofisini siku za kazi.
7.Mawasiliano zaidi 0625492720.
8.Mafuta juu yetu.
9.Vibali vya kuingia mjini/city centre ni juu yetu.
JPEG_20210203_190402_2524809243386631691.jpg
 
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwena sokoni.
VIGEZO.

1.Gari iwe na dereva wake.
2.Dereva atalipwa na mwenye gari.
3.Tani 3.5 mpaka 5.
4.Gari itakodiwa kwa mwendelezo na malipo ni kila baada ya mwezi.
5.Kiwango cha siku ni Tsh.60,000-70,000 kutegemea na gari.
6.Gari lazima ilale Godown/Ofisini siku za kazi.
7.Mawasiliano zaidi 0625492720.
8.Mafuta juu yetu.
9.Vibali vya kuingia mjini/city centre ni juu yetu.View attachment 1693586
Gari bado zinaitajika, unaweza weka ofa yako pia!!
 
 
Inahitajika gari ya kukodi box body kwa AJILI ya kusambaza mizigo kutoka Godown kwena sokoni.
VIGEZO.

1.Gari iwe na dereva wake.
2.Dereva atalipwa na mwenye gari.
3.Tani 3.
4.Gari itakodiwa kwa mwendelezo na malipo ni kila baada ya mwezi.
5.Kiwango cha siku ni Tsh.60,000-70,000 kutegemea na gari.
6.Gari lazima ilale Godown/Ofisini siku za kazi.
7.Mawasiliano zaidi 0625492720.
8.Mafuta juu yetu.
9.Vibali vya kuingia mjini/city centre ni juu yetu.View attachment 1693586
Nina gari SUZUKI CARRY DC51T haina 4Wheel.

NAKODISHA . Hii gari Ina Bomba ambazo unaweza kuzitoa au kuamua kuziacha. NINA DEREVA. Mafuta juu yako na vibali vya kuingia mjini juu yako. Tuwasiliane +255716576827 nipo Dar es salaam
 
Back
Top Bottom