Aisee ukitumwa ujue na vya kuandika.
Taizo wewe mwenyewe unajiita Popo,na post umeiweka mchana.
Nakushauri subiri usiku ndio upost kwa umakini.
Range rovers zipo aina kibaoo,Cruisers ndio usiseme.
Ukiweka Tangazo kijuu juu ndio unakuta kwamba watu wanahisi kwamba unataka kuitumia gari kwenye issue.Hata kama nia yako sio hiyo.