Gari Aina ya Noah Inafaa kwa Safari Ndefu?

Gari Aina ya Noah Inafaa kwa Safari Ndefu?

Donkey

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2010
Posts
1,499
Reaction score
1,585
Kwa yeyote anayemiliki au kutumia gari aina ya noah anisaidie kunijuza kama inafaa kwa safari ndefu na ina uwezo kuhimili njia
 
Kwa yeyote anayemiliki au kutumia gari aina ya noah anisaidie kunijuza kama inafaa kwa safari ndefu na ina uwezo kuhimili njia
Hata ikiwa ni Starlet ukitaka kutoboa hata South Africa unaenda,mzungu hakubahatisha,Noa inaenda popote,bora tu barabara iwe inapitika
 
Noah inafaa sana kwa Safari ndefu.
Ila haihimili njia,kama njia sio nzuri mkuu bora uipack itakutesa na utajuta.
Ila kama njia ni nzuri basi ndio mwake hasaaaa
 
Kwa yeyote anayemiliki au kutumia gari aina ya noah anisaidie kunijuza kama inafaa kwa safari ndefu na ina uwezo kuhimili njia
Noah haijatengenezwa mahsusi ya kumudu mikikimikiki japo tuna force kutokana na umasikini.
Gari zinazomudu safari za mbali angalau ukubwa wa injini uanzie cc 2500 na kuendelea.

Jibu ni ndio inaweza kumudu safari za mbali lakini utaichosha mapema ikiwa utafululiza safari za mbali
 
Kwa yeyote anayemiliki au kutumia gari aina ya noah anisaidie kunijuza kama inafaa kwa safari ndefu na ina uwezo kuhimili njia
hio gari haina balance kabisa...linafaa lakini ...usiendeshe zaidi ya 80.., tofauti na hapo wacha wosia kabisa
 
Noah kwa safari ndefu si gari salama kabisa.
Yaan lile ni box tuu, ikitokea ukajikwaa tuu humo njiani una RIP
 
Toka inipige chini si dhubutu kusafili na Noah ni nyepesi sana inakimbia sana Ila haina balance haifai ni Atari sana
 
Noah ni nzuri sana kwa safari, ili mradi barabara iwe nzuri..sio ya pori..!!

Pia ukitaka kupata balance ili Noah iwe inakimbia na bado ina balance kubwa weka matairi mapana... eg. 18" wheel rim size..!! PIA TYRE COVER iwe 245/40/18 au 235/45/18...

Hapo Noah hasa hzi New model mayai za kuanzia 2006/07 utaipendaaa... unaweza kimbia speed 150 gari iko kimyaaaa, na balance kubwa sanaaaaa.. na haiyumbi hata kidogo, na inakamata lami haswaaa, sbb tyres ni panaaaa imeshibia gari barabarani...!!
 
Toka inipige chini si dhubutu kusafili na Noah ni nyepesi sana inakimbia sana Ila haina balance haifai ni Atari sana
Mzee mbona avatar yako rangi yake imekoza sana hadi inaumiza macho.
 
Back
Top Bottom