mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,652
- 1,238
Unaposema baby walker unaongelea kitu kidogo chenye thamani ndogo,but hiyo mini cooper ni product ya bmw na unajua bmw nininiBaby walker siyo model ya gari mkuu... ni size ya gari.
Unaposema baby walker unaongelea kitu kidogo chenye thamani ndogo,but hiyo mini cooper ni product ya bmw na unajua bmw nininiBaby walker siyo model ya gari mkuu... ni size ya gari.
Baby walker ni size, hata kama ikiwa product ya Lamborghini ila kama ina ukubwa wa vitz itabaki kua baby walker tuUnaposema baby walker unaongelea kitu kidogo chenye thamani ndogo,but hiyo mini cooper ni product ya bmw na unajua bmw ninini
Ningekua mimi ndio wewe, kwenye hili tangazo ningeongezeaCc 1500
Automatic transmission,
Petrol inatumia
Inauzwa 8.5mln .....gari inapatikana magomeni,dar
Kwa mawasiliano zaidi piga sim
0715591141
Mbona nimeandika cc 1500....Ningekua mimi ndio wewe, kwenye hili tangazo ningeongezea
Engine size (CC)
Odometre,
Year of Manufacturing,
Date of Importation,
Number of Door,
Ila sababu wewe sio mimi, basi wacha hili tangazo libaki hivi hivi tu.
msipende kuangalia sana spidi mita inavosoma kwa mantiki hiyo unaweza pigwa sana bei unakuta gari ina spid 300kph as spidi mita inavosoma nyingne 220 as spidi mita ilivo then unaambiwa uchague gari may be mshindane according to jinsi ulivoandika unaeza chagua yenye 300kph ukizan ni fast enough kuliko hiyo inayokua na 220kphHahaha nimecheka sana mkuu... Yaani chuma ina spidi 200 huko ailinganishe IST? Anyway wabongo tumejifungia sana ndani ya box
Cc 1500
Automatic transmission,
Petrol inatumia
Inauzwa 8.5mln .....gari inapatikana magomeni,dar
Kwa mawasiliano zaidi piga sim
0715591141
Nliacha mkuu nlikuwa nalengaKatibu? Hii biashara ya magari uliiacha ??
Nliacha mkuu nlikuwa nalenga
Ila kama unataka naweza unganisha kwa wadau na wamiliki....
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app