Gardner G. Habash: Sina ugomvi na Jaydee, nimemkojoza miaka 15, Naibu Waziri aingilia kati

Huyu gadner ni ntangazaji tu au anahisa na hiyo media... Kama hana hisa basi wafanyakazi wa media hiyo wanaongozwa na IQ ndogo ya huyo kilaza... Sababu mtu mmoja kuwa na ugomvi na kushawishi kundi lote liwe kwenye ugomvi hadi kutopiga nyimbo za msanii huyo kuna shida mahali nahii inaweza kuwa kwa tz tu...
 
Hii ni Marketing Strategy ya upcoming JD's Show. Gardner ame create drama ili kila mtu now amuongelee JD na kumuonea huruma na ndio hapo watu watataka kujazana kwenye show. Hata kama hawapo pamoja but mkumbuke Gardner hajawahi kujibu vijembe vya JD hata siku moja, kwanini aongee hivyo kipindi hichi? kumbukeni yeye ndio alikua ana market kazi za JD wakati wako wote so mnaona kamdhalilisha ila nina uhakika anajua anachokifanya ana Marketing skills na hii ni moja wapo. Miaka 15 ya ndoa si kidogo hata kama wameachana ila chembechembe za hisia bado wote wanazo. Wakirudiana sijui watu watameza matapishi yao humu ndani au vipi?
Pension,
You may be right in this fracas
 
Sasa si walikatisha itabidi waanze upya!!!
Jayde katuaminisha kwamba maneno ya gadner kumkojoza yalikuwa ni ya ukweli ... baada ya kuachana na Gardner akakosa wa kumkojoza hivyo basi ameona isiwe kesi ni bora arejee kwa Gardner ili aupate utamu

Nakumbuka walipoachana alimpa tuhuma nyingi sana kuwa Gardner ni mlevi ..ni malaya alikuwa anatembea mpaka na wafanya kazi wao ..

Lakini baada ya kukaa na kukosa wa kumkojoza miaka mingi ....ameona sio kesi ni bora arejee kwa Gardner yupo tayari kuvumilia kadhia zake zote lakini awe anapata mkojozo tu ....

Daahh kweli kukojozwa sio kitu cha mchezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jayde katuaminisha kwamba maneno ya gadner kumkojoza yalikuwa ni ya ukweli ... baada ya kuachana na Gardner akakosa wa kumkojoza hivyo basi ameona isiwe kesi ni bora arejee kwa Gardner ili aupate utamu

Nakumbuka walipoachana alimpa tuhuma nyingi sana kuwa Gardner ni mlevi ..ni malaya alikuwa anatembea mpaka na wafanya kazi wao ..

Lakini baada ya kukaa na kukosa wa kumkojoza miaka mingi ....ameona sio kesi ni bora arejee kwa Gardner yupo tayari kuvumilia kadhia zake zote lakini awe anapata mkojozo tu ....

Daahh kweli kukojozwa sio kitu cha mchezo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom