Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,643
- 6,815
Mario ktk ubora wake,
Pension,Hii ni Marketing Strategy ya upcoming JD's Show. Gardner ame create drama ili kila mtu now amuongelee JD na kumuonea huruma na ndio hapo watu watataka kujazana kwenye show. Hata kama hawapo pamoja but mkumbuke Gardner hajawahi kujibu vijembe vya JD hata siku moja, kwanini aongee hivyo kipindi hichi? kumbukeni yeye ndio alikua ana market kazi za JD wakati wako wote so mnaona kamdhalilisha ila nina uhakika anajua anachokifanya ana Marketing skills na hii ni moja wapo. Miaka 15 ya ndoa si kidogo hata kama wameachana ila chembechembe za hisia bado wote wanazo. Wakirudiana sijui watu watameza matapishi yao humu ndani au vipi?
Kwahyo wanaanza upya kuhesabu miaka ya kuķojozana au wanaendelea walipoishia mwanzoNdio washarudiana tena!!!
pension
Sasa si walikatisha itabidi waanze upya!!!Kwahyo wanaanza upya kuhesabu miaka ya kuķojozana au wanaendelea walipoishia mwanzo
Jayde katuaminisha kwamba maneno ya gadner kumkojoza yalikuwa ni ya ukweli ... baada ya kuachana na Gardner akakosa wa kumkojoza hivyo basi ameona isiwe kesi ni bora arejee kwa Gardner ili aupate utamuSasa si walikatisha itabidi waanze upya!!!
Wanaume tunajivunia sana mikuyenge
HahahahaJayde katuaminisha kwamba maneno ya gadner kumkojoza yalikuwa ni ya ukweli ... baada ya kuachana na Gardner akakosa wa kumkojoza hivyo basi ameona isiwe kesi ni bora arejee kwa Gardner ili aupate utamu
Nakumbuka walipoachana alimpa tuhuma nyingi sana kuwa Gardner ni mlevi ..ni malaya alikuwa anatembea mpaka na wafanya kazi wao ..
Lakini baada ya kukaa na kukosa wa kumkojoza miaka mingi ....ameona sio kesi ni bora arejee kwa Gardner yupo tayari kuvumilia kadhia zake zote lakini awe anapata mkojozo tu ....
Daahh kweli kukojozwa sio kitu cha mchezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaanza kukufuru sasa, wenye akili kina Nani?Wamekufa watu kwenye Akili clouds limebaki hili bwabwa.....Mungu sometime anaupendeleo.