Garatwa: Tangu nijiunge na CHADEMA sijawahi kuona Upendo mkubwa wa TBC kama huu wanaomwonesha Mwenyekiti wetu Mbowe sasa, Je huyu Mbowe ni huyu huyu?

Garatwa: Tangu nijiunge na CHADEMA sijawahi kuona Upendo mkubwa wa TBC kama huu wanaomwonesha Mwenyekiti wetu Mbowe sasa, Je huyu Mbowe ni huyu huyu?

Wewe na upungufu wako wa akili unaamini kinachofanywa na TBC ni genuine..
Hiyo ruzuku unayoongelea ndio ya kulipia pango ofisi za wilaya? Maana ya chama na wajibu wa wanachama ni nini? Vitu gani vinakupa ujumbe kwamba chama mahali fulani kipo hai au kimekufa km makao makuu inalipia pango la ofisi, ofisi inaweza kuwa hata nyumbani kwa mtu kwa yeye kujitolea shughuli za chama zifanyike..Suzan Lyimo katoa nyumba yake iwe ofisi ya wilaya kinondoni, huko sehem zingine wanachama wanaishi mitini na lazima makao makuu wawalipie pango?
Unajua nyinyi akili zenu sijui hata zinaweza kufikiri kitu gani..mna-raise vitu vidogo vyenye majibu lkn sabab akili ina ulemavu mnataka kila kitu uandikiwe..watu wa aina hii ni mzigo hata kwa familia zenu wenyewe.
Umeandika pumba tupu, leta hoja na sio huu uharo wako wa kichawa.
Wakati ukuta na huu sio wakati wa Mbowe, sisi wanachadema tunajua namna alivyofeli na anavyodidimiza chama chetu siku hadi siku.
Tukimchekea atakiua kama ilivyo CUF ya lipumba au UDP ya Cheyo.
 
Lissu akirushwa live na TBC, kupatwa kwa upendo.
View attachment 3182428
Na mimi MKE wangu alitakaga HAKI SAWA na mimi,mpaka NDOA imevunjika 2021 manake mimi niligoma {usikute ni katabia ka UCCM} manake alikomaa kuliko TUNDU LISSU!!!,,,,yaani unaambiwa nilikuwa nikitoka kazini ananisachi mfukoni kuona nimebakiza chenji,,,kama zipo anachukua,,,alafu anavizia nimeishia usingizini,ananinusa mdomo,akikuta nanukia harufu ya BIA na KITI MOTO ananiasha kwa kibao,,,nikawa namuuliza shida ni nini?,,akaniambia pesa inabidi zigawiwe kwa baadhi ya ndugu,UKWENI na baadhi ndugu zake wanaosoma,,na mpaka kwa watoto wa dada yake walizalia nyumbani,,,dadadake,,,,nikichelewa kutoa pesa mshahara ukitoka,,,anatimba mpaka ofisini,,,,na wa vile bosi ni mwanamke,,,wanaungana unaambiwa,,,naminywa,,,mpaka posho zangu za safari na mafuta ya gari anapewa yeye!!!,,nilichemka,nikahama ile ofisi na yeye akkasepa mazima!!
 
Back
Top Bottom