Dah kwahiyo unafikiri habari ya k inafanya kazi kila sehemuNjoo PM tufanye BIZNES.
Unanipa hiyo pc unaniongezea na 50k.
Mie nakupa "1k"
Lakini Haizuii hii kuwa gaming pc kwa uwezo wake... lakini haina maana pc kuwa gaming inatumika kwenye games tu...Iyo pc unasema Ina nividia graphic , Kuna nividia GeForce 1050, 10.., 40..Rtx
Mimi ya kwangu generation ya saba Ina nividia GeForce 1050, ya kwako nazani Iko chini ya hapo ,haita kuwa na graphic nzuri kwa modern game