omary khamis
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 402
- 77
Hellow wanajf mimi nina hp yenye specification RAM 4gb, hdd 320gb, core!3 processor 2.30ghz nimeweka game la mpira nashangaa kuona linastack hata kucheza imeshindikana naomben mnisaidie kimawazo na ushauri pia je ni kitu gan kinamis apo na nifanyeje kufanikiwa hili ???