MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,707
- 21,867
Bila kozi au semina fupi ya mambo ya diplomasia?Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini ndg Mrisho Gambo yuko katika hatua za mwishomwisho za kuteuliwa, kuapishwa na kupelekwa Havanna Cuba kuiwakilisha nchi katika uga wa kidiplomasia kama balozi.
Kila kitu kiko tayari, kinachosubiriwa ni taarifa rasmi ya Mawasiliano Ikulu muda wowote.
JF kuwa wa kwanza kupata habari
Au kama vipi apelekwe yule wa kububujikwa na machozi.Ateuliwe alafu ajiuzulu siyo?
Huwa wanapelekwa short course kabla mkuu. Hata slaa kabla ya kuondoka alienda paleBila kozi au semina fupi ya mambo ya diplomasia?
Gambo atavuruga diplomacy yetu. Ni mgomvi mno ofisini.Huwa wanapelekwa short course kabla mkuu. Hata slaa kabla ya kuondoka alienda pale
Asisahau kupitia pale mwalimu Nyerere memorial kupata Ka short courseAliyekuwa mbunge wa Arusha mjini ndg Mrisho Gambo yuko katika hatua za mwishomwisho za kuteuliwa, kuapishwa na kupelekwa Havanna Cuba kuiwakilisha nchi katika uga wa kidiplomasia kama balozi.
Kila kitu kiko tayari, kinachosubiriwa ni taarifa rasmi ya Mawasiliano Ikulu muda wowote.
JF kuwa wa kwanza kupata habari
Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini ndg Mrisho Gambo yuko katika hatua za mwishomwisho za kuteuliwa, kuapishwa na kupelekwa Havanna Cuba kuiwakilisha nchi katika uga wa kidiplomasia kama balozi.
Kila kitu kiko tayari, kinachosubiriwa ni taarifa rasmi ya Mawasiliano Ikulu muda wowote.
JF kuwa wa kwanza kupata habari