kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 12,860
- 13,184
Raisi keshawaambie hapendi Majungu ya Watu wa Arusha.... yaani ni too much... Viongozi walioteuliwa washataarifiwa kuhusu nyie majitu mambea... na Mtanyooshwa tu yaani chuki kama zote.Mambo yameanza kwenda Kombo kwa aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo baada ya kunusurika kukamatwa na Takukuru hapo Jana wakati akigawa fedha kwa wajumbe wa ccm nyumbani kwake .
Gambo amejikuta Matatani jana majira ya jioni baada ya kuwepo taarifa kwamba Takukuru wamezingira nyumba ya serikali anayoishi iliyopo eneo la Mahakama na yeye kulazimika kuomba msaada wa gari la polisi na kufanikiwa kutoroshwa.
Ili kuwa hivi...Gambo amekuwa akishiriki mchezo mchafu wa kuwarubuni wajumbe waliopo kwenye kata mbalimbali jijini Arusha ambao kimsingi ndio wapiga kura za maoni ya ubunge ndani ya ccm.
Wajumbe hao wamekuwa wakiratibiwa na mwenyekiti wa ccm wilaya Joseph Masawe na kusomwa kwa kutumia gari la Shule ya Green Valley inayomilikiwa na Yahaya Njarita ambaye ndiye rafiki yake mkubwa
Gari la Njarita lenye namba T 576 BED lilinaswa likiwa na wajumbe waoatao 30 wa ccm kutoka kata mbalimbali ikiwemo Elerai na Moshono wakiwa nyumbani kwa Gambo walipopelekwa kwa ajili ya kufanya kikao chenye mlengo wa kumbeba mgombea huyo kinyume na taratibu za chama hicho.
Baada ya vijana wa Takukuru kutia timu nyumbani kwa Gambo wajumbe hao walipata taarifa kuwa wajuba wapo nje ndipo kila MTU alipoanza kutimka kivyake na baadaye gari hilo lilikamatwa na Takukuru huku Gambo akijifungia ndani na kuomba msaada wa polisi ambao baadaye polisi walifika na kufanikiwa kumwokoa na gari la polisi la RPC kuondoka kwa speed kubwa.
Takukuru Arusha wamekosa meno sababu ya kujiingiza kwenye siasa za Gambo wangekuwa makini hivi sasa Gambo angekuwa kizuizini lakini wamekamata gari na wajumbe wamewaachia.
Gambo anayedaiwa kubebwa zaidi na polisi anaitumia nyumba ya serikali ambayo ndio makazi yake kama maficho ya maovu na madhambi yake kwasasa kabla hajaibidhi kwa sababu inaulinzi wa polisi na imekuwa ngumu kwa Takukuru kitimiza wajibu wao.
Zoezi la kugawa fedha kwa wajumbe hao linaratibiwa na vigogo wa ccm ,Joseph Masawe mwenyekiti wa ccm wilaya na Zeloth Steven Mwenyekiti wa ccm Mkoa na inadaiwa gambo amejipanga kisawasawa kifedha kwa kuwacharaza noti wajumbe,hivyo Takukuru inapaswa kuzinduka zusingizini na kujipanga kisawasawa kuchungunza fedha hizo amezipata wapi.
Lakini ukiwa Chadema Li Ndugai hataki kutambua hilo, tena anamuambia mbunge huyo hamia ukae upande wa CCMKama uko CCM ukivuliwa uanachama ubunge unakoma bapo hapo.
Wadudu wamechanganya hadi kwenye ubongoLakini ukiwa Chadema Li Ndugai hataki kutambua hilo, tena anamuambia mbunge huyo hamia ukae upande wa CCM
Dogo angejikita kwenye biashara tu, ushawishi wa kisiasa umeshapotea kama Magesa Mulongo.Na leo magufuli amesema usidhani nikikufuta kwenye uteuzi ukaenda kugombea nitakuteua uwaziri,kama nilikuwa na nia ya kukuteua ningeshakuteua,kwanza hujui kama utapita kwenye hiyo kura za wajumbe na hata ukipita naweza nikakufuta pia
Tumia akili wewe, suala la Gambo linafanana na lile la Magesa Mulongo. Magesa Mulongo baada ya tukio lile alipata baraka gani? Usitumie makalio kujenga hoja uchwara.Kama nia ni kumtoa Lema basi jua Gambo ana baraka zote.
Vile vicheko vyao vya kinafiki, huwaga naonaga aibu mimi aseeHahah mpk CDF alichanwa halafu wakawa wanacheka mpk wanatikisa mabega kwa furaha huku mioyoni kwao wakijua hawajafurahi wala nini.
Ashapotea kwenye ramani atahonga wajumbe huko halafu mzee yupo pale juu akitokea tu mzee anapiga chini ili aendelee kugombana vzr uraianiMambo yameanza kwenda Kombo kwa aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo baada ya kunusurika kukamatwa na Takukuru hapo Jana wakati akigawa fedha kwa wajumbe wa ccm nyumbani kwake .
Gambo amejikuta Matatani jana majira ya jioni baada ya kuwepo taarifa kwamba Takukuru wamezingira nyumba ya serikali anayoishi iliyopo eneo la Mahakama na yeye kulazimika kuomba msaada wa gari la polisi na kufanikiwa kutoroshwa.
Ili kuwa hivi...Gambo amekuwa akishiriki mchezo mchafu wa kuwarubuni wajumbe waliopo kwenye kata mbalimbali jijini Arusha ambao kimsingi ndio wapiga kura za maoni ya ubunge ndani ya ccm.
Wajumbe hao wamekuwa wakiratibiwa na mwenyekiti wa ccm wilaya Joseph Masawe na kusomwa kwa kutumia gari la Shule ya Green Valley inayomilikiwa na Yahaya Njarita ambaye ndiye rafiki yake mkubwa
Gari la Njarita lenye namba T 576 BED lilinaswa likiwa na wajumbe waoatao 30 wa ccm kutoka kata mbalimbali ikiwemo Elerai na Moshono wakiwa nyumbani kwa Gambo walipopelekwa kwa ajili ya kufanya kikao chenye mlengo wa kumbeba mgombea huyo kinyume na taratibu za chama hicho.
Baada ya vijana wa Takukuru kutia timu nyumbani kwa Gambo wajumbe hao walipata taarifa kuwa wajuba wapo nje ndipo kila MTU alipoanza kutimka kivyake na baadaye gari hilo lilikamatwa na Takukuru huku Gambo akijifungia ndani na kuomba msaada wa polisi ambao baadaye polisi walifika na kufanikiwa kumwokoa na gari la polisi la RPC kuondoka kwa speed kubwa.
Takukuru Arusha wamekosa meno sababu ya kujiingiza kwenye siasa za Gambo wangekuwa makini hivi sasa Gambo angekuwa kizuizini lakini wamekamata gari na wajumbe wamewaachia.
Gambo anayedaiwa kubebwa zaidi na polisi anaitumia nyumba ya serikali ambayo ndio makazi yake kama maficho ya maovu na madhambi yake kwasasa kabla hajaibidhi kwa sababu inaulinzi wa polisi na imekuwa ngumu kwa Takukuru kitimiza wajibu wao.
Zoezi la kugawa fedha kwa wajumbe hao linaratibiwa na vigogo wa ccm ,Joseph Masawe mwenyekiti wa ccm wilaya na Zeloth Steven Mwenyekiti wa ccm Mkoa na inadaiwa gambo amejipanga kisawasawa kifedha kwa kuwacharaza noti wajumbe,hivyo Takukuru inapaswa kuzinduka zusingizini na kujipanga kisawasawa kuchungunza fedha hizo amezipata wapi.
Hahah wanacheka tu ilimradi mkono uende kinywani mkuu.Vile vicheko vyao vya kinafiki, huwaga naonaga aibu mimi asee
Vile mtu mzima anatingishika mabega kwa kicheko, unakuta hata havichekeshi
Miaka inaenda mbio sana kutoka kuwa mteule mpaka kuishi Kama digidigi daaaaah maisha haya jamani kama namuona lema anacheka nhiiiiiiiiiWakati si milele
Usimwamini Sana JPM diwani athumani Msuya kunawakati alitumbuliwa ila leo hii ndio bosi wa tiss so inaweza kuwa mipango tu ambayo zimwi likujualo....AU ndio maana raisi kasema ilikuwa awatimue RPC na mkuu waTAKUKURU Arusha maana kuna kitu anajua.Gambo hawezi tena kuwa mbunge kwa kauli ya mkuu leo ndio imetoka hiyo.Maana kamkaanga kinoma na itakuwa anajua mambo mengi yanayoendelea Arusha.
Nyani akizidiwa huwa anatema BUNGOKumekucha Kumekucha
Sasa Ni Muda Wa Nyani Kumkana Mwanaye 😀😁
Inategemea nimeamkaje!Na leo magufuli amesema usidhani nikikufuta kwenye uteuzi ukaenda kugombea nitakuteua uwaziri,kama nilikuwa na nia ya kukuteua ningeshakuteua,kwanza hujui kama utapita kwenye hiyo kura za wajumbe na hata ukipita naweza nikakufuta pia