KIPUMPUSWA Senior Member Joined Jul 16, 2011 Posts 106 Reaction score 35 Oct 9, 2011 #1 Alishawahi kuonja siasa za maji taka a.k.a siasa uchwara. ila ni gamba linalojua kuupimia upepo unakoelekea. Attachments 11__Guninita_akimpingeza_Dk__Kafumu.jpg 34.8 KB · Views: 124
Alishawahi kuonja siasa za maji taka a.k.a siasa uchwara. ila ni gamba linalojua kuupimia upepo unakoelekea.
Anko Sam JF-Expert Member Joined Jun 30, 2010 Posts 3,254 Reaction score 907 Oct 9, 2011 #2 KIPUMPUSWA said: Alishawahi kuonja siasa za maji taka a.k.a siasa uchwara. ila ni gamba linalojua kuupimia upepo unakoelekea. Click to expand... Baada ya miaka 4 Kafumuliwa atakuwa na gamba kama hilo la Guninita au Komba ama Masaburi!
KIPUMPUSWA said: Alishawahi kuonja siasa za maji taka a.k.a siasa uchwara. ila ni gamba linalojua kuupimia upepo unakoelekea. Click to expand... Baada ya miaka 4 Kafumuliwa atakuwa na gamba kama hilo la Guninita au Komba ama Masaburi!
chapaa JF-Expert Member Joined Feb 19, 2008 Posts 2,349 Reaction score 206 Oct 9, 2011 #3 Mafioso roho mbaya majizi ya pesa za umma hata kwetu yapo
Mzee Platinum Member Joined Feb 2, 2011 Posts 13,620 Reaction score 5,867 Oct 9, 2011 #4 Wote hao ni wezi.
mikatabafeki JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 12,771 Reaction score 4,656 Oct 9, 2011 #5 matapeli ni matapeli tu
L Lsk Senior Member Joined Oct 10, 2011 Posts 178 Reaction score 26 Oct 10, 2011 #7 ...hapo ni gamba plus gamba,yote mawili ni magamba!!
Emanuel Makofia JF-Expert Member Joined Jan 5, 2010 Posts 3,832 Reaction score 637 Oct 10, 2011 #8 hawa wezi hata kule kwetu wapo
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 27,650 Reaction score 16,731 Oct 11, 2011 #9 hawa madingi wawili ndo wanawafunza hawa vijana wawili wakikua kufikia umri wa hawa madingi watakuwa mafisadi mara mbili yao ha
hawa madingi wawili ndo wanawafunza hawa vijana wawili wakikua kufikia umri wa hawa madingi watakuwa mafisadi mara mbili yao ha