Unapatikana wapi?? Kwa Dar Es salaam???S5 bei 450 kiongozi...sorry for late reply
Tupo Dar, Ofisi zetu zipo kkoo, mtaa wa aggrey. ila kwa wasioweza kufika dukani tunawaletea popote pale walipo (Dar es Salaam)..pia kwa wateja wa mikoani huwa tunawatumia kwa Mabasi.Unapatikana wapi?? Kwa Dar Es salaam???
Mkuu Huwa hakuna iphone 6 plus yenye 32GB.
Habari Wakuu, mzigo mpyaa umeingia. Pia Aksanteni sana wateja wangu hasa wa mikoani ambao tupo pamoja mpaka sasa, na mnaonisapoti Vunja Bei kwa kununua bidhaa zangu za smartphones na zaid kwa kuniunganisha na wateja wengine, nawashukuru saana....tupo pamoja! Pia ile offer ya glass protector imerudi tena, kwa wateja wangu wote watakaonunua cm kwangu msimu huu watajipatia glass protector au cover au vyote kwa pamoja bure kabsa.
Karibuni saana ndugu.