Galaxy s4 for sale

Galaxy s4 for sale

moocha014

Member
Joined
Mar 14, 2014
Posts
12
Reaction score
1

Nauza simu aina ya
Samsung S4 kwa bei nzuri kabisa Tshs 500,000/=. Simu ni mpya kabisa na zimetengenezwa Korea na unapata warranty ya mwaka mmoja. Zimebaki simu chache. SIII Tshs 300,000/=. Kama unahitaji ni PM faster.

Nipo Dar, Nipigie 0653489335




View attachment 145427View attachment 145429

Kulia ni Galaxy S4 kubwa GT i9500

Chini ni Galaxy S4 mini na Galaxy SIII
2014-03-14 12.02.56.jpg 2014-03-14 12.03.40.jpg
2014-03-14 12.06.55.jpg 2014-03-14 12.07.52.jpg 2014-03-14 12.07.52.jpg
 
Simu za ukweli hizo, S4, S4 mini & S3 mini. Usipoteze muda, changamkia fursa hiyo!
 
Hata clone ni made in Korea. So kuwa specific ni clone au original? Kama ni zenyewe bei zake zipo chini sana.
 
Hata clone ni made in Korea. So kuwa specific ni clone au original? Kama ni zenyewe bei zake zipo chini sana.

samahani sana mkuu, naomba kuuliza ya kuwa hivi hata hizo clone kama ukirun imei namba zake itakubali? vipi upande wa score kwa kutumia antutu?
 
Du, Arusha itakuwa ngumu kidogo. Labda kama una ndugu dar akuchukulie. Ninauwezo wa kukutumia kwenye mabasi ya Kilimanjaro kama utaniamini!

Nitabidi ningoje next time ukileta mzgo mpya, nadhani ntakua na safari yakuja huko.
 
Back
Top Bottom