Gairo tunateseka sana shida ya maji

Gairo tunateseka sana shida ya maji

Acha kulia lia humu. Tumia hilo tatizo kama fursa, kopa pesa mahali chimba Maji ardhini uzia wenzio hapo, chimba underground tank la Lita hata laki 5 , kinga Maji ya mvua na ikikatika treat hayo Maji kwa water guard then anza kuuza.

Mwakani wee milionea
Wewe ungekuwa milionea Km ungekuwa haya mawazo unayafanyia kazi upo km watu wa Clouds na vifursa vyao uchwara
 
Gairo hakuna maji ? Nani kasema ? Anaeruhusiwa kusema hakuna maji ni mbunge tu... Wewe naona umetumwa na wapinzani utuchafue viongozi wa ccm. USHINDWE NA ULEGEE
 
Acha kulia lia humu. Tumia hilo tatizo kama fursa, kopa pesa mahali chimba Maji ardhini uzia wenzio hapo, chimba underground tank la Lita hata laki 5 , kinga Maji ya mvua na ikikatika treat hayo Maji kwa water guard then anza kuuza.

Mwakani wee milionea
Siyo rahisi kama unavyodhani....... huna tofauti na wanasiasa wanaosema vijana wajiajiri wakati ndo kwanza wamemaliza vyuo na hawana hata dhamana ya kukopea benki.
 
Njooni Dodoma mtafuteni Mh. pale Bungeni wakati wa kikao cha Bunge kijacho.

="Queenbety, post: 19357600, member: 408833"]Jamani huku kwetu morogoro wilaya ya Gairo kuna shida sana ya maji yaana unakuta maji yanakaa muda mrefu hayatoki kiasi kwamba ndoo moja 1500 halafu mbunge yupo Dodoma anakula bata inauma sana[/QUOTE]
Njooni
 
Mleta Mada utashitakiwa kwa uchochezi na pia inaonesha kijiji ama mtaa wenu mtakuwa mnaishi wapigadili.
Sisi wazalendo wakweli hatulalamiki tunapiga kazi tu.

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Mbona hata Dar Maji ni shida? Maeneo ya Mbezi beach/ Mbezi Juu Karibu Na tank Bovu Watu hawajawahi kupata Maji ya Dawasco hata Siku moja, Maji yanauzwa bei kubwa hadi Watu wanazani pengine Hawa Dawasco kuna asilimia ya mauzo ya Hawa walanguzi wa Maji inarudi mifukoni mwao watendaji? Kuna family friends wako maeneo hayo Yani wanakwambia Maji ni shida kW miaka mingi halafu Bomba kubwa limepitishwa Kwa Karibu sana lakini kila wakienda kufuatilia Dawasco ya Kawe wanababaishwa Na kupewa hadithi ! Yani inasikitisha sana !
 
Over 55 years of independence bado tunaongelea shida ya Maji sijui wenye mamlaka husika wanajisikiaje
 
Mlimchagua wenyewe. Si yule mwenye shabiby bus.

Subirini tena 2020 mumuulize!
 
Gairo hakuna maji ? Nani kasema ? Anaeruhusiwa kusema hakuna maji ni mbunge tu... Wewe naona umetumwa na wapinzani utuchafue viongozi wa ccm. USHINDWE NA ULEGEE
Mkuu unamaanisha hayo maji yanayotoka mara moja kwa mwezi? Watu wanagaiwa ndoo kumikumi, acha masihara na maisha ya binadamu mwenzako,
 
Ninyi hamna mbunge?? Si huwa mmachagua chama tawala miaka yote?? ccm mbele kwa mbele
 
Jamani huku kwetu morogoro wilaya ya Gairo kuna shida sana ya maji yaana unakuta maji yanakaa muda mrefu hayatoki kiasi kwamba ndoo moja 1500 halafu mbunge yupo Dodoma anakula bata inauma sana
Mwambie mbunge wako.....
 
Jamani huku kwetu morogoro wilaya ya Gairo kuna shida sana ya maji yaana unakuta maji yanakaa muda mrefu hayatoki kiasi kwamba ndoo moja 1500 halafu mbunge yupo Dodoma anakula bata inauma sana
yawezekana mnalipwa mlichoo
 
Lakini si hua mnaichagua ccm kwa kura nyingi? Iweje hata maji hampati?
nimecheka sana leo kwani wangechagua upinzania maji yangepatikana.maana ke ukame tu
kingjofatz-20170111-0001.jpeg
 
Mimi nimechoka MTU mwenye kiu ya kujitolea kuhangaikia maisha ya watu yupo as tunarndelea na old school kwamba shabib ndo mbunge Wa milele. Poa had I tukigundua tutabadili saiz watu Wangu Wa gairo hawaelewi
 
Mh! Kumbe mnajua mbunge wenu aliko, jikusanyeni mumfuate mumueleze hiyo kero! Hizo ndo kazi za wabunge, awasaidie mchimbiwe visima! Mbona Dodoma cku hz shda ya maji imepungua? Wawachimbie visimaaa
 
Back
Top Bottom