Kwangu Mimi hi no kiza kinene,mbele sioni🤦🤦🤦🤦🤦
Njoo uandamane j3, msimamo wa vyama vyetu.Nguo za Sirro zimetapkaa damu ya wasio na hatia.
Nguo za Sirro zimetapkaa damu ya wasio na hatia.
Nasikia kesho lisu anapewa cheti cha ushindi wa uraisi na yule mzungu Amsterdam
jamani mm sijajiunga na VPNKwahiyo kesho ni public holiday amaa...!!
Kama ndivyo niandae shamba dress yangu mapema...!
jamani mm sijajiunga na VPN
naona km sio kufungiwa tena kwa mitandao baada ya kuhesabu matokeo sijui !!!