Mtafiti77
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 1,938
- 2,353
Wajuvi wa mambo,
Kama heading inavyosema. Hivi, hapa Dar/Tz duka gani huuza vifaa vya elektoniki mfano simu, kompyuta , camera, n.k. halisi kabisa? Yani ninunue, niweze kusajili kifaa changu kwenye website ya manufacturer,kwa mfano, kama wafanyavyo mbele huko.
Je, ni kweli nikiingia maduka yetu yanayojiita wakala, mfano, nikinunua Sony hapa bongo, nikiingiza serial numbers kwa website husika ya Sony itakubaliwa?
Wazoefu ninaomba msaada
Kama heading inavyosema. Hivi, hapa Dar/Tz duka gani huuza vifaa vya elektoniki mfano simu, kompyuta , camera, n.k. halisi kabisa? Yani ninunue, niweze kusajili kifaa changu kwenye website ya manufacturer,kwa mfano, kama wafanyavyo mbele huko.
Je, ni kweli nikiingia maduka yetu yanayojiita wakala, mfano, nikinunua Sony hapa bongo, nikiingiza serial numbers kwa website husika ya Sony itakubaliwa?
Wazoefu ninaomba msaada