Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
huyu jamaa msimseme sana jamani kwani viongozi wetu Bongo watoto wao wakifanya makosa na kupelekwa polisi inakuwaje?T.I.D aliwekwa ndani mwaka kwa kumpiga mtoto mmoja wa kigogo na ashtray...Mkuki kwa nguruwe ila kwa binadamu unauma...